Tetesi: UVCCM Iramba wanyukana, katibu wa vijana akataliwa na baraza.

Tetesi: UVCCM Iramba wanyukana, katibu wa vijana akataliwa na baraza.

kyokyombe

Member
Joined
Jun 23, 2019
Posts
6
Reaction score
6
Kuna taarifa zinaeleza ya kwamba umoja wa vijana wa CCM wilaya ya Iramba wameingia katika mtafaruku mkubwa sana
hii ni kutokana na mgogoro uliopo kati ya katibu wa vijana wa wilaya na vijana waliopo wilayani humo
katibu huyo inasadikika amekuwa akitumia nafasi yake kwa masilahi binafsi kinyume na kanuni ya umoja wa vijana .
mgogoro huu umepelekea Jumuiya kuelekea kufa wilayani humo
hivyo viongozi wa chama mlioko humu mulikeni hili ili kukiokoa chama .
 
Mgogoro unaweza kuimarisha chama pia. Watu wakajua mbivu na mbichi...!
 
Wacha makomredi yaendelee kunyukana, mpaka wamalizane "mtoto' wa baba tayari ni VP
 
Kutofautiana katika chama Ni Jambo lisilo zuilika natumae hatua itachukuliwa CCM Ni chama makini
 
Kuna taarifa zinaeleza ya kwamba umoja wa vijana wa CCM wilaya ya Iramba wameingia katika mtafaruku mkubwa sana
hii ni kutokana na mgogoro uliopo kati ya katibu wa vijana wa wilaya na vijana waliopo wilayani humo
katibu huyo inasadikika amekuwa akitumia nafasi yake kwa masilahi binafsi kinyume na kanuni ya umoja wa vijana .
mgogoro huu umepelekea Jumuiya kuelekea kufa wilayani humo
hivyo viongozi wa chama mlioko humu mulikeni hili ili kukiokoa chama .

Kuna kiongozi wa ccm asietumia nafasi yake kwa manufaa binafsi?
 
Back
Top Bottom