LGE2024 UVCCM Iwawa, Njombe: Tuchagueni CCM tuwaletee maendeleo, Upinzani ni wapiga kelele tu!

LGE2024 UVCCM Iwawa, Njombe: Tuchagueni CCM tuwaletee maendeleo, Upinzani ni wapiga kelele tu!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Tunaendelea kula popcorn wakati tunaendelea kuangalia movie.

====



Katibu wa Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kata ya Iwawa Benjamin Mahenge amewasihi wanaccm kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura za ndio wagombea wao na kuachana na wa vyama vya upinzani ambao kazi yao ni kupiga makelele na si kushika dola kwa sababu hawawezi.

Kupata taarifa za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Ameyasema hayo katika mkutano wa kampeni uliofanyika tawi la Ludihani Mamlaka ya mji mdogo wa Iwawa wilayani Makete mkoani Njombe.
 
Wakuu,

Tunaendelea kula popcorn wakati tunaendelea kuangalia movie.

====

View attachment 3158009

Katibu wa Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kata ya Iwawa Benjamin Mahenge amewasihi wanaccm kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura za ndio wagombea wao na kuachana na wa vyama vya upinzani ambao kazi yao ni kupiga makelele na si kushika dola kwa sababu hawawezi.

Ameyasema hayo katika mkutano wa kampeni uliofanyika tawi la Ludihani Mamlaka ya mji mdogo wa Iwawa wilayani Makete mkoani Njombe.
Blood bastard, 63 year in power maendeleo ni almost zero leo eti tuchagueni...... matope kbisa kichwani
 
Miaka yote 60 walikuwa wapi kuyaleta hayo maendeleo?
 
Back
Top Bottom