LGE2024 UVCCM Kagera Faris Buruhani: CHADEMA Kagera hawatashinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa labda washinde njaa

LGE2024 UVCCM Kagera Faris Buruhani: CHADEMA Kagera hawatashinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa labda washinde njaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Hivi huyu anafanya nini uraiani na bado ni kiongozi wkati alituambia wazi kabisa yeye ni wale watu wasiyojulikana wanaopoteza watu? Polisi mnazidi kutuangusha, yaani kila siku mnajipaka matope.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

===


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Kagera Comrade Faris Buruhani, amewaeleza Wananchi wa Bukoba Mjini kwamba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Kagera hakikujipanga na Uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu ndio maana wagombea wa Chama hicho wameamua kuingia mitini na wengine kususia hata kufanya mikutano kwenye maeneo mbalimbali.

Comrade Faris ameyaeleza hayo Novemba 22, 2024 katika mitaa 10 ya kata za Miembeni, Hamugembe, Bilele na Kashai ambako amepita kwa ajili ya kuzungumza na wananchi na kuwanadi wagombea wanaopeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi katika maeneo hayo.
 
"Shweitwani hana rafiki."

Mwisho wa kumnukuu.
Chama B waendelee kusaga lami hakuna msimamizi wa uchaguzi kutoka Chama A atakae ruhusu mgombea kutoka Chama B ashinde uchaguzi, mwisho wa kubukuu
 
Kulikoni kuridhiana chaguzi hivi na chama A?

Mwisho wa kujiuliza.
Kuridhiana hivi na Chama A ili Chama A kiendelee kutawala milele na katiba yake ya tangu na tangu na katiba yake ya Chama A inayominya haki za Wananchi na kuminya haki za Chama B, kwa Chama A ni viongozi wa Chama A tu ndio wenye haki ila Wananchi na viongozi wa Chama B hawana haki ndio maana wanawaburuza leo utasikia wamekurupushwa kule kesho kule kushokutwa kule na hawana kwa kwenda kushtaki maana wanajua wanapoenda kushtaki ndipo Chama A walipo unaenda kumshtakia nani akupe nini? Mwisho wa konekuu
 
Kuridhiana hivi na Chama A ili Chama A kiendelee kutawala milele na katiba yake ya tangu na tangu na katiba yake ya Chama A inayominya haki za Wananchi na kuminya haki za Chama B, kwa Chama A ni viongozi wa Chama A tu ndio wenye haki ila Wananchi na viongozi wa Chama B hawana haki ndio maana wanawaburuza leo utasikia wamekurupushwa kule kesho kule kushokutwa kule na hawana kwa kwenda kushtaki maana wanajua wanapoenda kushtaki ndipo Chama A walipo unaenda kumshtakia nani akupe nini? Mwisho wa konekuu

"Kurudia kufanya jambo vile vile na kutegemea matokeo tofauti ni wenda kuzimu!"

Mwisho wa kumnukuu.
 
Wakuu,

Hivi huyu anafanya nini uraiani na bado ni kiongozi wkati alituambia wazi kabisa yeye ni wale watu wasiyojulikana wanaopoteza watu? Polisi mnazidi kutuangusha, yaani kila siku mnajipaka matope.

===


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Kagera Comrade Faris Buruhani, amewaeleza Wananchi wa Bukoba Mjini kwamba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Kagera hakikujipanga na Uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu ndio maana wagombea wa Chama hicho wameamua kuingia mitini na wengine kususia hata kufanya mikutano kwenye maeneo mbalimbali.

Comrade Faris ameyaeleza hayo Novemba 22, 2024 katika mitaa 10 ya kata za Miembeni, Hamugembe, Bilele na Kashai ambako amepita kwa ajili ya kuzungumza na wananchi na kuwanadi wagombea wanaopeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi katika maeneo hayo.
Kama wameenguliwa na kubakizwa wachache, si logically ni kwamba CCM ambao hawakuebguliwa watashindwa kwa sababu wana wagombea wengi zaidi kuliko Chadema? Kama kungekuwa na fair play hapo ndipo kungekuwa na ushindani. Lakini ujanjaujanga kama huu si ushindi wenye hadhi ya ushindi. Ni ushindi wa 'goli la mchono'. Ni sawa mwanafunzi aonyeshwe majibu ya mtihani halafu ashinde na ashangilie. Kwangu mimi huyu si mshindi. Mshindi ni yule anayepambana kusoma na kisha kufanya mtihani na bila kuonyeshwa majibu anafaulu. Sasa CCM wanajivuna mahali ambapo hawastahili kujivuna hata kidogo. Kungekuwa chama kinachopendwa kisingekuwa kinatumia mbinu chafu kushinda chaguzi.
 
Kama wameenguliwa na kubakizwa wachache, si logically ni kwamba CCM ambao hawakuebguliwa watashindwa kwa sababu wana wagombea wengi zaidi kuliko Chadema? Kama kungekuwa na fair play hapo ndipo kungekuwa na ushindani. Lakini ujanjaujanga kama huu si ushindi wenye hadhi ya ushindi. Ni ushindi wa 'goli la mchono'. Ni sawa mwanafunzi aonyeshwe majibu ya mtihani halafu ashinde na ashangilie. Kwangu mimi huyu si mshindi. Mshindi ni yule anayepambana kusoma na kisha kufanya mtihani na bila kuonyeshwa majibu anafaulu. Sasa CCM wanajivuna mahali ambapo hawastahili kujivuna hata kidogo. Kungekuwa chama kinachopendwa kisingekuwa kinatumia mbinu chafu kushinda chaguzi.
Haya maelezo viongozi wa Chama A hawataki kuyasikia kabisa
 
Ukiandamana tu wanakutumia kifurushi cha Wiki

Hawa si miungu. Yaliwakuta kina Mengistu, Amini, Barre, Mobutu, Kaburu, Smith na wa namna hIyo.

Ulikuwa muda wa kuwekeza kwenye umoja wetu, kuliko kulia lia kwenye mambo yanayojulikana.
 
Hawa si miungu. Yaliwakuta kina Mengistu, Amini, Barre, Mobutu, Kaburu, Smith na wa namna hIyo.

Ulikuwa muda wa kuwekeza kwenye umoja wetu, kuliko kulia lia kwenye mambo yanayojulikana.
Ukiandamana au ukaweka mkutano wako hawa hapa wametuma umethibitisha umepokea kifurushi cha Mwezi
 
Kama wameenguliwa na kubakizwa wachache, si logically ni kwamba CCM ambao hawakuebguliwa watashindwa kwa sababu wana wagombea wengi zaidi kuliko Chadema? Kama kungekuwa na fair play hapo ndipo kungekuwa na ushindani. Lakini ujanjaujanga kama huu si ushindi wenye hadhi ya ushindi. Ni ushindi wa 'goli la mchono'. Ni sawa mwanafunzi aonyeshwe majibu ya mtihani halafu ashinde na ashangilie. Kwangu mimi huyu si mshindi. Mshindi ni yule anayepambana kusoma na kisha kufanya mtihani na bila kuonyeshwa majibu anafaulu. Sasa CCM wanajivuna mahali ambapo hawastahili kujivuna hata kidogo. Kungekuwa chama kinachopendwa kisingekuwa kinatumia mbinu chafu kushinda chaguzi.

Haiwahusu. Wao ni kubakia madarakani tu. Mengine mtajiju!

Kwamba ni kavu kavu kama hivyo.
 

FARIS BURUHANI: CHADEMA MKOA WA KAGERA HAWATASHINDA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA LABDA WASHINDE NJAA

📍Bukoba_Kagera

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Kagera Comrade Faris Buruhani, amewaeleza wananchi wa Bukoba Mjini kwamba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Kagera hakikujipanga na Uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu ndio maana wagombea wa Chama hicho wameamua kuingia mitini na wengine kususia hata kufanya mikutano kwenye maeneo mbalimbali.

Comrade Faris ameyaeleza hayo Novemba 22, 2024 katika mitaa 10 ya kata za Miembeni, Hamugembe, Bilele na Kashai ambako amepita kwa ajili ya kuzungumza na wananchi na kuwanadi wagombea wanaopeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi katika maeneo hayo.

Aidha, comrade Faris amewahakikishia wananchi katika maeneo hayo kwamba Chama pekee kinachoweza kuleta Maendeleo wanayoyataka ni Chama Cha Mapinduzi kwa sababu ndicho Chama kinachopimika kwa sababu ya kazi kubwa iliyofanyika ndani ya miaka mitatu iliyopita katika sekta mbalimbali za Elimu, Maji, Umeme, Miundombinu, Afya na kadhalika.

#SerikaliZaMitaa
#SautiYaWananchi
#JitokezeKushirikiUchaguzi
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2024-11-24 at 21.00.28.mp4
    22.1 MB
Wamewaengua au wamekimbia mitini! Uchaguzi ambao refa ndo ninyi wenyewe kwa nini msishinde??? Acha kutuenjoy!
 
Back
Top Bottom