LGE2024 UVCCM Kagera Faris Buruhani: Viongozi wa dini wahimizeni waumini kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

LGE2024 UVCCM Kagera Faris Buruhani: Viongozi wa dini wahimizeni waumini kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,



Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera Comrade Faris Buruhani, ameungana na Waislamu wa wilaya ya Missenyi na Mkoa wa Kagera kwa ujumla katika Maulid ya Bwana Mtume Mohammad [s.a.w] iliyosomwa katika Kata ya Kyaka wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Akitoa salamu za Chama na Jumuiya mbele ya maelfu ya waumini hao, amewasihi viongozi wote wa dini mkoani Kagera kuwahimiza na kuwakumbusha waumini wao kushiriki ipasavyo katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa, kwa kuchagua viongozi wazuri watakaokuwa chachu ya maendeleo katika mitaa na vijiji vyao.
 
Wakuu,

View attachment 3161942

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera Comrade Faris Buruhani, ameungana na Waislamu wa wilaya ya Missenyi na Mkoa wa Kagera kwa ujumla katika Maulid ya Bwana Mtume Mohammad [s.a.w] iliyosomwa katika Kata ya Kyaka wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

Akitoa salamu za Chama na Jumuiya mbele ya maelfu ya waumini hao, amewasihi viongozi wote wa dini mkoani Kagera kuwahimiza na kuwakumbusha waumini wao kushiriki ipasavyo katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa, kwa kuchagua viongozi wazuri watakaokuwa chachu ya maendeleo katika mitaa na vijiji vyao.
uongozi ni kuonyesha njia,
well done comrade Faris Buruhani 💪👊
 
Back
Top Bottom