only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,527
Wakati nchi ikiwa kwenye mchakato wa kupata katiba mpya itakayokaa badala ya ile ya 1977, Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), wemetoa maoni yao kuwa ni vyema katiba mpya ikawa na ibara inayoruhusu mke zaidi ya mmoja. Wakichangia kwenye baraza lao mkoani Morogoro, vijana hao walidhihirisha tabia yao kwa kuongea wakiwa serious kabisa kuwa wanataka kuoa wake wengi iwe ni ibara ndani ya katiba.
ITV news bulletin saa tano.
My Take:
Haya ndio maoni ya vijana wa CCM, kwa Muungano sio hoja, maliasili sio ishu, nk, wao wanawake kwanza.
ITV news bulletin saa tano.
My Take:
Haya ndio maoni ya vijana wa CCM, kwa Muungano sio hoja, maliasili sio ishu, nk, wao wanawake kwanza.