jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Haiwezekani kuwaacha vilaza waliofeli eti ndio news makers huku mitandaoni na kuchukua credits eti wao ndio wasemaji wa Taifa.
Wito wangu kwa vijana makini na waliolelewa na kufunzwa vyema na wazazi pamoja na vyombo vya chama cha Mapinduzi na Serikali kuingia rasmi mitandaoni na kuwapa watanzania na dunia uhalisia wa nchi yetu pendwa mama Tanzania!
Soma Pia:
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wito wangu kwa vijana makini na waliolelewa na kufunzwa vyema na wazazi pamoja na vyombo vya chama cha Mapinduzi na Serikali kuingia rasmi mitandaoni na kuwapa watanzania na dunia uhalisia wa nchi yetu pendwa mama Tanzania!
Soma Pia:
- UVCCM acheni kusifia vitu ambavyo havipaswi kusifiwa
- Mwenyekiti UVCCM taifa apingana na Amos Makalla kuhusu kutoa pole kwa chadema kufuatia kifo cha Ali Kibao
- UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!