Kwi Kwi KwiBro usitake nicheke kwani kina luka na joni mbatizaji huwaoni hapa daily? Au wao sio yuuviisisiemu?View attachment 3099980
😆😆😆😆 Anzisha uzi kuhusu uvccm halafu angalia wachangiajiUVCCM TAWI LA JAMII FORUM TUPO IMARA
USSR
Bro usitake nicheke kwani kina luka na joni mbatizaji huwaoni hapa daily? Au wao sio yuuviisisiemu?View attachment 3099980Haiwezekani kuwaacha vilaza waliofeli eti ndio news makers huku mitandaoni na kuchukua credits eti wao ndio wasemaji wa Taifa.
Wito wangu kwa vijana makini na waliolelewa na kufunzwa vyema na wazazi pamoja na vyombo vya chama cha Mapinduzi na Serikali kuingia rasmi mitandaoni na kuwapa watanzania na dunia uhalisia wa nchi yetu pendwa mama Tanzania!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sometimes jingalao anataka kuwa jinga kweli😂Kwi Kwi Kwi
Huku social media hakuna mbeleko ya vyombo vya dola. Ccm pamoja na jumuiya zake wanategemea kufanya uhalifu kwa kushirikiana na vyombo vya dola. Uwezo ww kujenga hoja za kuvutia watu hawana. Na sio kwamba wanashindwa kwa sababu gani, hapana ni kuwa ccm sio chama cha kizazi hiki, hivyo hakina mvuto kwa kizazi hiki.Haiwezekani kuwaacha vilaza waliofeli eti ndio news makers huku mitandaoni na kuchukua credits eti wao ndio wasemaji wa Taifa.
Wito wangu kwa vijana makini na waliolelewa na kufunzwa vyema na wazazi pamoja na vyombo vya chama cha Mapinduzi na Serikali kuingia rasmi mitandaoni na kuwapa watanzania na dunia uhalisia wa nchi yetu pendwa mama Tanzania!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wewe ulihama lini CHADEMA. ?UVCCM TAWI LA JAMII FORUM TUPO IMARA
USSR
Nyie mafala tu.UVCCM TAWI LA JAMII FORUM TUPO IMARA
USSR
Kama ulisikia Ile statement ya Mwenyekiti wa UVCCM kuhusu mauaji ya Mzee Kibao halafu ukategemea lolote la maana kwao basi una uhitaji mkubwa wa msaada wa afya ya akili.Haiwezekani kuwaacha vilaza waliofeli eti ndio news makers huku mitandaoni na kuchukua credits eti wao ndio wasemaji wa Taifa.
Wito wangu kwa vijana makini na waliolelewa na kufunzwa vyema na wazazi pamoja na vyombo vya chama cha Mapinduzi na Serikali kuingia rasmi mitandaoni na kuwapa watanzania na dunia uhalisia wa nchi yetu pendwa mama Tanzania!
Soma Pia:
- UVCCM acheni kusifia vitu ambavyo havipaswi kusifiwa
- Mwenyekiti UVCCM taifa apingana na Amos Makalla kuhusu kutoa pole kwa chadema kufuatia kifo cha Ali Kibao
- UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!