UVCCM toeni taarifa kwa wazazi wenye watoto wao walio enda kwa Mkapa leo. Mpaka sasa hivi kuna wanafunzi kibao bado wapo ndani ya uwanja wamezuiwa

UVCCM toeni taarifa kwa wazazi wenye watoto wao walio enda kwa Mkapa leo. Mpaka sasa hivi kuna wanafunzi kibao bado wapo ndani ya uwanja wamezuiwa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Sasa hivi sa 4 usiku nampigia simu dogo (binti miaka 17 form 4) hadi sasa hivi anasema bado wapo uwanja wa Taifa( kwa mkapa)

Anasema wamezuiwa kutoka ndani ya uwanja kwa sababu ya usalama wao. Wanaogopa wakiwaruhusu wengine wanaweza kupotea au kukomasaviwa na wahuni( bodaboda) etc.

Uvccm toeni tamko sasa hivi tafadhali muwafahamishe wazazi ambao watoto wao bado wapo uwanjani taifa hawajarudi majumbani kwao.

Mimi Binafsi sina tatizo na binti yangu kwa sababu kwangu Mimi utu uzima kwa msichana unaingia at age 14 ( anapo vunja ungo) so to me huyu binti yangu mwenye 17 yrs namuona mtu mzima kabisa anae weza kuji simamia yeye mwenyewe na nilisha mpa wosia muda mrefu sana kwamba she is living for herself not for me. Na kwamba ninamsomesha ili aje aishi vizuri yeye na watoto atakao wazaa.

Na ninaongea nae kwa uwazi kabisa kiasi hana sababu yoyote ile ya kunidanganya kwa sababu kama naweza kumruhusu kwenda " kuchukua daftari" kwa classmate wake mvulana almost every weekend hana sababu yoyote yakunidanganya.

Tatizo lipo kwa baadhi ya wazazi ambao hawana mtazamo wa maisha kama Mimi. Wazazi ambao wana amini mtu mzima eti anaanzia miaka 18.

They are in a very panic mood as I write this thread. Nina classmate wangu dada mmoja wa kichaga katoka kunipigia hapa amechanganyikwia. Yeye anahisi either mtoto wake ana mdanganya au kuna tatizo limetokea huko taifa. (NA HIVI BINTI YAKE ANASOMEA KAMBANGWA BASI DADA WA WATU NDO KAPANIC BALAA BE WACHAGA KAMA MNAVYO HIS MAGONJWA YAO HUWAGA NI PRESHA NA KISUKARI SIKU ZOTE)

So nimeandika Uzi huu kwuaomba serikali na Uvccm kutoa ufafanuzi huo haraka ili kutuliza mioyo ya wazazi.

Mh. JOKATE MWEGELO.

Dkt Gwajima.

Mh. TULIA ACKSON

Maxence Melo
Yericko Nyerere
 
Sasa hivi sa 4 usiku nampigia simu dogo ( binti miaka 17 form 4) hadi sasa hivi anasema bado wapo uwanja wa Taifa( kwa mkapa)

Anasema wamezuiwa kutoka ndani ya uwanja kwa sababu ya usalama wao. Wanaogopa wakiwaruhusu wengine wanaweza kupotea au kukomasaviwa na wahuni( bodaboda) etc.

Uvccm toeni tamko sasa hivi tafadhali muwafahamishe wazazi ambao watoto wao bado wapo uwanjani taifa hawajarudi majumbani kwao.

Mimi Binafsi sina tatizo na binti yangu kwa sababu kwangu Mimi utu uzima kwa msichana unaingia at age 14 ( anapo vunja ungo) so to me huyu binti yangu mwenye 17 yrs namuona mtu mzima kabisa anae weza kuji simamia yeye mwenyewe na nilisha mpa wosia muda mrefu sana kwamba she is living for herself not for me. Na kwamba ninamsomesha ili aje aishi vizuri yeye na watoto atakao wazaa.

Na ninaongea nae kwa uwazi kabisa kiasi hana sababu yoyote ile ya kunidanganya kwa sababu kama naweza kumruhusu kwenda " kuchukua daftari" kwa classmate wake mvulana almost every weekend hana sababu yoyote yakunidanganya.

Tatizo lipo kwa baadhi ya wazazi ambao hawana mtazamo wa maisha kama Mimi. Wazazi ambao wana amini mtu mzima eti anaanzia miaka 18.

They are in a very panic mood as I write this thread. Nina classmate wangu dada mmoja wa kichaga katoka kunipigia hapa amechanganyikwia. Yeye anahisi either mtoto wake ana mdanganya au kuna tatizo limetokea huko taifa. ( NA HIVI BINTI YAKE ANASOMEA KAMBANGWA BASI DADA WA WATU NDO KAPANIC BALAA BE WACHAGA KAMA MNAVYO HIS MAGONJWA YAO HUWAGA NI PRESHA NA KISUKARI SIKU ZOTE)

So nimeandika Uzi huu kwuaomba serikali na Uvccm kutoa ufafanuzi huo haraka ili kutuliza mioyo ya wazazi.

Mh. JOKATE MWEGELO.


Dkt Gwajima.

Mh. TULIA ACKSON

Maxence Melo
Yericko Nyerere
Mkuu tatizo niko sasa hivi Luxembourg on a business trip rubbing shoulders with dignitaries and elites na kesho narudi Monaco. Hadi jumatano ndo ntarudi bongo. Ningewasaidia lakini ndo hivo tena niko mbali.

Magonjwa Mtambuka Chaliifrancisco
 
Sasa hivi sa 4 usiku nampigia simu dogo ( binti miaka 17 form 4) hadi sasa hivi anasema bado wapo uwanja wa Taifa( kwa mkapa)

Anasema wamezuiwa kutoka ndani ya uwanja kwa sababu ya usalama wao. Wanaogopa wakiwaruhusu wengine wanaweza kupotea au kukomasaviwa na wahuni( bodaboda) etc.

Uvccm toeni tamko sasa hivi tafadhali muwafahamishe wazazi ambao watoto wao bado wapo uwanjani taifa hawajarudi majumbani kwao.

Mimi Binafsi sina tatizo na binti yangu kwa sababu kwangu Mimi utu uzima kwa msichana unaingia at age 14 ( anapo vunja ungo) so to me huyu binti yangu mwenye 17 yrs namuona mtu mzima kabisa anae weza kuji simamia yeye mwenyewe na nilisha mpa wosia muda mrefu sana kwamba she is living for herself not for me. Na kwamba ninamsomesha ili aje aishi vizuri yeye na watoto atakao wazaa.

Na ninaongea nae kwa uwazi kabisa kiasi hana sababu yoyote ile ya kunidanganya kwa sababu kama naweza kumruhusu kwenda " kuchukua daftari" kwa classmate wake mvulana almost every weekend hana sababu yoyote yakunidanganya.

Tatizo lipo kwa baadhi ya wazazi ambao hawana mtazamo wa maisha kama Mimi. Wazazi ambao wana amini mtu mzima eti anaanzia miaka 18.

They are in a very panic mood as I write this thread. Nina classmate wangu dada mmoja wa kichaga katoka kunipigia hapa amechanganyikwia. Yeye anahisi either mtoto wake ana mdanganya au kuna tatizo limetokea huko taifa. ( NA HIVI BINTI YAKE ANASOMEA KAMBANGWA BASI DADA WA WATU NDO KAPANIC BALAA BE WACHAGA KAMA MNAVYO HIS MAGONJWA YAO HUWAGA NI PRESHA NA KISUKARI SIKU ZOTE)

So nimeandika Uzi huu kwuaomba serikali na Uvccm kutoa ufafanuzi huo haraka ili kutuliza mioyo ya wazazi.

Mh. JOKATE MWEGELO.


Dkt Gwajima.

Mh. TULIA ACKSON

Maxence Melo
Yericko Nyerere
Huyo mtoto ni demu wako ,wakufikia au wakumzaa mwenyewe
 
Sasa hivi sa 4 usiku nampigia simu dogo ( binti miaka 17 form 4) hadi sasa hivi anasema bado wapo uwanja wa Taifa( kwa mkapa)

Anasema wamezuiwa kutoka ndani ya uwanja kwa sababu ya usalama wao. Wanaogopa wakiwaruhusu wengine wanaweza kupotea au kukomasaviwa na wahuni( bodaboda) etc.

Uvccm toeni tamko sasa hivi tafadhali muwafahamishe wazazi ambao watoto wao bado wapo uwanjani taifa hawajarudi majumbani kwao.

Mimi Binafsi sina tatizo na binti yangu kwa sababu kwangu Mimi utu uzima kwa msichana unaingia at age 14 ( anapo vunja ungo) so to me huyu binti yangu mwenye 17 yrs namuona mtu mzima kabisa anae weza kuji simamia yeye mwenyewe na nilisha mpa wosia muda mrefu sana kwamba she is living for herself not for me. Na kwamba ninamsomesha ili aje aishi vizuri yeye na watoto atakao wazaa.

Na ninaongea nae kwa uwazi kabisa kiasi hana sababu yoyote ile ya kunidanganya kwa sababu kama naweza kumruhusu kwenda " kuchukua daftari" kwa classmate wake mvulana almost every weekend hana sababu yoyote yakunidanganya.

Tatizo lipo kwa baadhi ya wazazi ambao hawana mtazamo wa maisha kama Mimi. Wazazi ambao wana amini mtu mzima eti anaanzia miaka 18.

They are in a very panic mood as I write this thread. Nina classmate wangu dada mmoja wa kichaga katoka kunipigia hapa amechanganyikwia. Yeye anahisi either mtoto wake ana mdanganya au kuna tatizo limetokea huko taifa. ( NA HIVI BINTI YAKE ANASOMEA KAMBANGWA BASI DADA WA WATU NDO KAPANIC BALAA BE WACHAGA KAMA MNAVYO HIS MAGONJWA YAO HUWAGA NI PRESHA NA KISUKARI SIKU ZOTE)

So nimeandika Uzi huu kwuaomba serikali na Uvccm kutoa ufafanuzi huo haraka ili kutuliza mioyo ya wazazi.

Mh. JOKATE MWEGELO.


Dkt Gwajima.

Mh. TULIA ACKSON

Maxence Melo
Yericko Nyerere
Ulivyo poyoyo unasubilia tamko la mwanao ndio limlinde ,baba hovyo wewe
 
Najua wengi watakupopoa hapa na kukuona baba wa hovyo, ila uko sahihi na nakupa heko, umechagua njia iliyo ya ukweli na ukaamua kuambatanaa nayoo.

Hongera sana babaa, endelea hivyo hivyo, km bintiyo ni muelewa bas atafika mbalii sanaaa.
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Sasa hivi sa 4 usiku nampigia simu dogo ( binti miaka 17 form 4) hadi sasa hivi anasema bado wapo uwanja wa Taifa( kwa mkapa)

Anasema wamezuiwa kutoka ndani ya uwanja kwa sababu ya usalama wao. Wanaogopa wakiwaruhusu wengine wanaweza kupotea au kukomasaviwa na wahuni( bodaboda) etc.

Uvccm toeni tamko sasa hivi tafadhali muwafahamishe wazazi ambao watoto wao bado wapo uwanjani taifa hawajarudi majumbani kwao.

Mimi Binafsi sina tatizo na binti yangu kwa sababu kwangu Mimi utu uzima kwa msichana unaingia at age 14 ( anapo vunja ungo) so to me huyu binti yangu mwenye 17 yrs namuona mtu mzima kabisa anae weza kuji simamia yeye mwenyewe na nilisha mpa wosia muda mrefu sana kwamba she is living for herself not for me. Na kwamba ninamsomesha ili aje aishi vizuri yeye na watoto atakao wazaa.

Na ninaongea nae kwa uwazi kabisa kiasi hana sababu yoyote ile ya kunidanganya kwa sababu kama naweza kumruhusu kwenda " kuchukua daftari" kwa classmate wake mvulana almost every weekend hana sababu yoyote yakunidanganya.

Tatizo lipo kwa baadhi ya wazazi ambao hawana mtazamo wa maisha kama Mimi. Wazazi ambao wana amini mtu mzima eti anaanzia miaka 18.

They are in a very panic mood as I write this thread. Nina classmate wangu dada mmoja wa kichaga katoka kunipigia hapa amechanganyikwia. Yeye anahisi either mtoto wake ana mdanganya au kuna tatizo limetokea huko taifa. ( NA HIVI BINTI YAKE ANASOMEA KAMBANGWA BASI DADA WA WATU NDO KAPANIC BALAA BE WACHAGA KAMA MNAVYO HIS MAGONJWA YAO HUWAGA NI PRESHA NA KISUKARI SIKU ZOTE)

So nimeandika Uzi huu kwuaomba serikali na Uvccm kutoa ufafanuzi huo haraka ili kutuliza mioyo ya wazazi.

Mh. JOKATE MWEGELO.


Dkt Gwajima.

Mh. TULIA ACKSON

Maxence Melo
Yericko Nyerere
Ila taifa limejaa mbwiga hili , kwanini mnawaachia watoto wenu kwenda kuzurura huko bila mpangilio ?
 
Back
Top Bottom