UVCCM wamuonya Anthony Diallo

Your browser is not able to display this video.
 
Nyi vijana wa CCM ni wachumia tumbo, hapendi kuambiwa ukweli kuwa marehemu wenu alikuwa kichaa
 
Atafukuzwa kwenye chama
Sita washangaa,ila itakuwa ni bahati kwake kama ikawa ni hatua hiyo tu,ila inasemwa kuwa tenda wema usisubiri shukrani yeye,katekeleza wajibu wake kuwakumbusha kuwa walisha toka nje ya misingi ya taifa hili,wao wananuna.
 
Comrade Anthony Diallo amesema maneno mazito.

Ametimiza ahadi ya mwana TANU/CCM isemayo "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko".

Ukweli uliochelewa ni bora kuliko uwongo uliowahi.
Ila ukweli huohuo ukielekezwa kwa Mbowe inakuwa anaonewa wivu
 
Timu magufuli mareheme mmeshikwa kunako na mwana ccm mkongwe zaid ya marehemu na ninyi mikia yake. Kama alikuwa hafai ni hafai tu wala sio siri hatuwezi kuitukuza maiti iliyo litesa taifa kwa miaka mitano

basi kajitie kidole ulale.
 
Wauseme ukweli kwa wakati sio wanajisemea nje ya muda kinafiki
 
Katibu anashauri kiongozi wa CCM akiona chama kinaongozwa na kichaa aondoke amwache kichaa afanye anavyotaka?

Hapana. Diallo alikuwa sahihi,bado yuko sahihi!

Haya ya kihongosi ni blabla tu za kinafiki. Hata hivyo,kwa usabayasabaya wa kihongosi hatuwezi kushangaa sana!
 
Ukweli upi umesemwa na Diallo!
 
soma katikakati ya mistari...ni daktari anayeweza kuthibitisha fulani ni kichaa... kupitia report ya daktari ndio tunaweza kuthibitisha hilo....umeshawahi kuiona hiyo report ya daktari?.....
ikiwa muhusika anakiri kwamba hayuko njema wewe ukibisha itakusaidia nini ?
 
Waacheni wafu wazike wafu wao......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…