UVCCM: Wapinzani walikwamisha upatikanaji wa KATIBA mpya

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kwa kumbukumbu zangu, sikumbuki ni lini na kwa namna gani Mbowe, Lipumba na Mbatia walikwamisha "nia njema ya CCM" ya kuunda katiba mpya.

UVCCM hebu mjifunze kusoma matukio hata kama mlikua hamjapevuka bado. Msiwe wajinga kupitiliza, siasa ni sayansi na sio uropokaji.

Ile sherehe mliyofanya na mkanengua viuno ilikua kombolela au mdako??

"Historia na nia njema ya CCM kuanzisha mchakato wa katiba mpya umeziweka serikali zake kwenye kilele cha fahari ya uzalendo.Hata hivyo majina ya kina Mbowe, Mbatia na Prof. Lipumba hayatasahaulika kwa kukwamisha katiba mpya isipatikane" Salvatory Ngerera, Mwenyekiti UVCCM Iringa https://t.co/g4bfOYgVZb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…