UVCCM Wilaya ya Iramba wamvaaa Membe, wampa onyo kali

UVCCM Wilaya ya Iramba wamvaaa Membe, wampa onyo kali

Kidugu

Member
Joined
Apr 19, 2020
Posts
23
Reaction score
38
Jumuiya ya umoja wa vijana WA CCM Wilaya ya Iramba mkoani singida Imemtumia salamu aliyekuwa mwanachama wa CCM Bernard Membe na baadae kufukukuzwa uanachama na Kamati Kuu.

Jumuiya hii kupitia kwa mwenyekiti wake comrade Joseph Mnemba imesema kuwa haitamvumilia mtu yeyote anaepingana na Mwenyekiti wa chama hicho Dr John Pombe Magufuli kwa gharama yeyote.

"Hatuwezi kuwa na watu wanaotaka kutuharibia nchi kama kina Membe, wamekitumikia chama, wametumikia serikali, imefika muda wanaenda tofauti na maelekezo ya chama ni lazima wakae pemben wamuache Rais wetu kipenzi cha Watanzania afanye kazi, tunampenda Sana Rais wetu. Kama wanatumika, wajitathmini upya. Vijana hatutakubali Rais wetu aayumbishwe na watu wachache wenye tamaa"

Alisema M/kiti huyo, CD Mnemba

FB_IMG_15864210008758056.jpg
 
Kwani Yesu wenu hana tamaaa si alisema urais ni kazi ngumu,sasa si awaachie wengine kwa nini mnazuia watu wasitumie haki yao ya kidemokrasia na kikatiba kugombea
 
Kidugu wani kutumile! Mamila makoo! Unatumika na Dkt. Mwigulu sio. Usije Simba lazima tukudeal wewe!
 
Back
Top Bottom