Pre GE2025 UVCCM yatakiwa kuandaa kambi za mafunzo kwa Vijana kuelekea Uchaguzi Mkuu

Pre GE2025 UVCCM yatakiwa kuandaa kambi za mafunzo kwa Vijana kuelekea Uchaguzi Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM ) Rehema Sombi Omary amewataka Viongozi wa UVCCM Mikoa yote Nchini kuandaa Kambi za Mafunzo maalumu kwa Vijana ili Kuweza kuwajenga na kuwafunda Vijana kuwa Wazalendo katika Taifa kuelekea Uchaguzi mkuu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Sombi ametoa agizo hilo Machi 02,2025 wakati akifunga Kambi Maalumu ya Mafunzo kwa Vijana wa UVCCM Mkoa wa wa Kilimanjaro iloyofanyika wilayani Hai.

 
Mnapambana na mambo ya kijinga na kutumia muda mwingi kuwaza uchaguzi na si mambo ya maana.

Baada ya kuweka nguvu kutrain na kuwezesha vijana kwenye uwekezaji wa rasilimari ndani ya nchi Yao ili kutengeneza kizazi cha Watanzania weusi Matajiri watakaoshikilia nguvu za uchumi wa Taifa lao.

Endeleeni kuweka nguvu kwenye siasa zenu za kushinda uchaguzi ilihali Tutsi aka Mulenge wanawekeza kwenye smart heads na kuwapandikiza taratibu kwenye mifumo sambamba na kujenga mtandao wao wa matajiri watakaoshika uchumi miaka mingi baadaye, Kenyans nao hawako nyuma katika hili.

It's a new turn era in East Africa sasa, watu msipoamsha vichwa na kuwa serious na ustawi wa Taifa mjue tunaingia wazima kwenye mitego ya manyang'au.

Tuko busy kuwekeza kwa wasanii, machawa na waimba mapambio ili kuendelea kushinda uchaguzi na kutawala busy na manipulation of our own people na sio kujenga mifumo imara na kujenga kizazi smart shindani kitakacho counter vitisho vya kisasa.
 
Tuko busy kuwekeza kwa wasanii, machawa na waimba mapambio ili kuendelea kushinda uchaguzi na kutawala busy na manipulation of our own people na sio kujenga mifumo imara na kujenga kizazi smart shindani kitakacho counter vitisho vya kisasa.
100%🤝
 
Unapoteza muda kutushauri. Tunachowaza zaidi ya mbinu za kuiba kura hakuna lingine. Wenzetu mataifa mengine wako busy maabara, wengine wanasoma research mbalimbali wengine kwenye viwanda ila Mtanzania anawaza kukamata, kuzuia, kutunga kashfa, propaganda, amemaliza.
 
Jeshi la polisi litafumbia macho, zama za vyama vya siasa kutengeneza vikundi vya wafanya fujo zishapitwa na wakati.

Haya ndio mambo wanasheria wa vyama vya siasa wanatakiwa ku-challenge mahakamani.

CCM kuendelea kutengeneza vigenge vya wahuni kwa jina la green guard imeshapitwa na wakati.
 
Unapoteza muda kutushauri. Tunachowaza zaidi ya mbinu za kuiba kura hakuna lingine. Wenzetu mataifa mengine wako busy maabara, wengine wanasoma research mbalimbali wengine kwenye viwanda ila Mtanzania anawaza kukamata, kuzuia, kutunga kashfa, propaganda, amemaliza.
 
Hizo ndio kazi zinazoweza kufanywa kwa USAHIHI na majeshi yetu, si ajabu tunavyoshuhudia WAKIBAGAZWA na wanamgambo wa Rwanda na M23 huko DRC.
 
Kutana na navijana majinga ambayo ndiyo haya sasa. Yapi yapo tu kujaza matumbo yao.
 
Huko ndio vijana wa ccm huenda kufundishwa unyama dhidi ya wapinzani, na vyombo vya dola huwa ni sehemu ya uchafu huo.
Wakati vijana wa South Korea wanafundishwa kutengeneza electronic chip na vijana wa China wanafundishwa export and import business sisi vijana wetu wanafundishwa mbinu za kushinda uchaguzi.
 
Back
Top Bottom