Uvimbe chini yasikio nitatizo gani?

fundi msati

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
216
Reaction score
91
habari wataalam. mimi huwa napatwa na tatizo lakuvimba chini kidogo ya sikio uvimbe huwa simkubwa sana nikama kijipu uchungu hivi. lakin chenyewe huwa kinakaa kwa mda mrefu mpaka kuiva nakupasuka tena wakati mwengine huwa kinaishia hivyo nakupotea. je nitakua na tatizo gani? NILIWAHI KUMSIKIA MTAALAM AKILIZUNGUMZIA HILI LAKINI ILIKUA NIKIPINDI CHA RADIO NANILICHELEWA KUMSIKILIZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…