Achekee kwenye kinu au tundu la choo
Wakati huo huo awe anapaka mate ya asubuhi kila akiamka, mchana anapaka majani ya chai. Ka uvimbe haka huwa na tabia ya kuhama hama, kanaitwa sekela.
Mtaanza, imani mbofu mbofu eeeh, sasa zenu za kimagharibi kama zimeshindwa mtajua zetu za asili.
kope zikichomoka lile tundu uingiliwa na bacteria ndo uleta jipu,lazima a2tumie antibiotic unless kakipona apa kanaamia pale maana kope huchomoka kila wakat mpaka utibu wale bacteria,vulinisumbuaga sana uvu mpaka dr.mmoja alipo nielimisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.