Achekee kwenye kinu au tundu la choo
Wakati huo huo awe anapaka mate ya asubuhi kila akiamka, mchana anapaka majani ya chai. Ka uvimbe haka huwa na tabia ya kuhama hama, kanaitwa sekela.
Mtaanza, imani mbofu mbofu eeeh, sasa zenu za kimagharibi kama zimeshindwa mtajua zetu za asili.