Heshima yenu wadau,
Yapata wiki tano zilizopita nilichoma sindano katika kalio , lakini sindano hii ilikuwa na maumivu makali tofauti na sindano nilizokwishawahi kuchoma zamani. siku moja baada ya sindano nilianza kusikia maumivu makali katika eneo la sindano na siku chache baadae nikaona uvimbe mdogo katika eneo la sindano . maumivu yameisha lakini uvimbe mpaka leo upo.
Naomba msaada wa kujuzwa nini inaweza ikawa chanzo cha hali hii na jinsi kutatua tatizo hili.
Asante
Yapata wiki tano zilizopita nilichoma sindano katika kalio , lakini sindano hii ilikuwa na maumivu makali tofauti na sindano nilizokwishawahi kuchoma zamani. siku moja baada ya sindano nilianza kusikia maumivu makali katika eneo la sindano na siku chache baadae nikaona uvimbe mdogo katika eneo la sindano . maumivu yameisha lakini uvimbe mpaka leo upo.
Naomba msaada wa kujuzwa nini inaweza ikawa chanzo cha hali hii na jinsi kutatua tatizo hili.
Asante