Habari wakuu mwanangu amekuwa akisumbuliwa na tonsils tangu umri wa miaka minne, ila siku hizi haziumi tena km mwanzoni na hata mwanzoni hakuwa anaumwa serious kiasi cha kushindwa kula wala kucheza..!!
ila siku za karibuni nimegundua huu uvimbe ambao umetibiwa bila mafanikio... mara ya kwanza alipewa PenV mara ya pili akapewa Amoxicillin na pia awamu ya tatu aliandikiwa Ceftriaxone (sijui km nimepatia) injection ambazo alichoma 10 kwa siku 5 asubuhi na jioni.. YEYE ANASEMA HAZIUMI je na mimi nitulie tu kwamba atapona? naombeni ushaur jamani nimeanbatanisha na picha pia Sky Eclat Riwa Mzizi mkavu na madaktari wengine..
.
ila siku za karibuni nimegundua huu uvimbe ambao umetibiwa bila mafanikio... mara ya kwanza alipewa PenV mara ya pili akapewa Amoxicillin na pia awamu ya tatu aliandikiwa Ceftriaxone (sijui km nimepatia) injection ambazo alichoma 10 kwa siku 5 asubuhi na jioni.. YEYE ANASEMA HAZIUMI je na mimi nitulie tu kwamba atapona? naombeni ushaur jamani nimeanbatanisha na picha pia Sky Eclat Riwa Mzizi mkavu na madaktari wengine..
.