Rjohn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 613
- 128
kuna jino lilikuwa linanisumbua la chn moja na la juu moja opposite tu! nikaenda kung'oa la chn hospitali! la juu nikaweka dawa flan yakienyej ili likatke katke hapo baadae, dawa hyo alinipa mjomba wangu! tangu cku hyo halikuwah kuuma tena na ni kama mwez hv umepta! chaajabu leo naona kuna uvmbe umetokea kwenye ufidh wa hilo hilo jino kama kuna usaha hv lakn hauhumi hata kdogo! naomba ushaur nifanyeje! au tatzo nini?