Uvimbe kwenye uume

Maelezo yako yanaonyesha wewe ndo mhusika, haiwezekani ueleze kila kipengele kwa hisia hivyo! Ugonjwa wa zinaa huo, unatibika usiwaze afande, zingatia tiba.
 
magonjwa ya zinaa mnayapataje? acheni zinaa au tumieni condom
afate ushauri wa daktari na sio pharmacy!ina maana hujui tofauti ya daktari na mpharmasia
ngoja nikupe na fimbo kabisa miss umchape kwasababu ameshindwa kutofautisha pumba na mchele
 
Kwa jinsi alivyotoa maelezo ya hao wataalamu na ma doctors haiwezekani kuwa amesimuliwa.
Ni yeye haswa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…