Uvimbe kwenye ziwa la mama anaenyonyesha, nini sababu?

Uvimbe kwenye ziwa la mama anaenyonyesha, nini sababu?

agprogrammer

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
468
Reaction score
362
Habari za jioni wataalamu, kama kichwa cha mada kielezavyo mke wangu kajifungua ana miezi mitatu sasa ziwa lake moja upande wa kulia linamuuma mno, kabla ya kujifungua palikuwa na ka uvimbe tuliende hospitali tukaambiwa akijifungua na kuanza nyonyesha kitaondoka ila tangu kujifungua bado kipo na zaidi kumetokea mwingine ambao ndo unasababisha maumivu, nilikuwa naomba kujua chanzo ni nini ?.

NB: huu ndo uzazi wa kwanza kwake.

Nawasilisha.
 
Habari za jioni wataalamu, kama kichwa cha mada kielezavyo mke wangu kajifungua ana miezi mitatu sasa ziwa lake moja upande wa kulia linamuuma mno, kabla ya kujifungua palikuwa na ka uvimbe tuliende hospitali tukaambiwa akijifungua na kuanza nyonyesha kitaondoka ila tangu kujifungua bado kipo na zaidi kumetokea mwingine ambao ndo unasababisha maumivu, nilikuwa naomba kujua chanzo ni nini ?.

NB: huu ndo uzazi wa kwanza kwake.

Nawasilisha.
Vipi Badiliko la kiumbo la titi lake ? Na mwonekano wangozi yatiti ukoje ? Maumivu hayo anayasikia ktk nyonyo tu au hadi yanapanda mpaka kwapani kwake ? Je mama maziwa anayotoa mama yanakua narangi isokua yakawaida ??

Ingekua hamna uvimbe kidogo tungesema nimabadiliko yakwaida tu ya titi.

Bila kujalisha mama afya yake kwaujumla ipoje, nivema umpeleke hospital
 
hata period inachangia,ila uvimbe huwa unapotea,muone daktarin mkuu,suala lako sio la ku guess humu,wewe mpeleke kwa daktari
 
Back
Top Bottom