Uvumilivu: Mitihani ya form 2&4 imemalizika, hivyo tuvumilie baadhi ya threads

Uvumilivu: Mitihani ya form 2&4 imemalizika, hivyo tuvumilie baadhi ya threads

Mbona zipo nyingi tu hata kabla hiyo mitihani haijaanza!
 
Moderators wawe na kazi ya ziada kuchambua zenye maudhui FULANI au LA. Ila pia hili ni jukwaa huru acha tusikie mawazo na saut za kila kundi
 
Habari wakuu,

Mitihani ya kumalizia shule na kufungia imemalizika na wengi hawana cha kufanya kwa sasa. Na kwa sababu kila mtu anamiliki 'smatphone' hivyo ni mwendo wa kuchat tu. Hivyo unapoona thread za ajabu ajabu humu vumilia tu, jua kimasomo tupo likizo.

Hivyo kwasasa wengi tupo humu.

Hata hii pia Mvumilie tu.
Tumekuelewa ila tumia smartphone yako kwa mambo ya maana na yenye tija ktk masomo na maisha yako...epuka videos za ngono na magroup yasiyo na tija
 
Habari wakuu,

Mitihani ya kumalizia shule na kufungia imemalizika na wengi hawana cha kufanya kwa sasa. Na kwa sababu kila mtu anamiliki 'smatphone' hivyo ni mwendo wa kuchat tu. Hivyo unapoona thread za ajabu ajabu humu vumilia tu, jua kimasomo tupo likizo.

Hivyo kwasasa wengi tupo humu.

Hata hii pia Mvumilie tu.
Mitihani ya F2 bado inaendelea wiki ijayo mpaka ijumaa
 
Nimeiona moja inaomba kufundishwa jinsi ya kutongoza, sijaifungua ila imepata wachngiaji wengi tu
 
Back
Top Bottom