CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Hali zenu wadau wa jukwaa hili....
Mwenzenu mie ni mama wa mtoto mtoto mmoja... (single mother) sasa huyu mzazi mwenzangu kiukweli naeza sema kanitelekeza kabisaaa... Kwani majukumu yoote ya kumlea mwanetu nayabeba mie includes school fees, uniform, vitabu, madaftari, kalamu, chakula, malazi na hata mavazi. Kama mjuavyo English Medium School ada zake ni 1m+ per year.
Nimekuwa nikilipa ada hiyo huu ni mwaka wa sita (6) sasa. Huyu baba si kwamba hana uwezo, mshahara wake ni mara 4 ya mshahara wangu ila sijui ni kwanini hataki kumsomesha mwanaye. Kila nikimueleza anadai majukumu ni mengi aliyonayo. Hata mimi pia nina majukumu sio kwamba ninaishi peke yangu.
Hapa ninachoomba ushauri, ni kwamba nifanyeje ili awe responsible kwa mwanaye. Make mwisho wa siku mtoto huyooo atamfuata baba yake na hatojali kama baba yake alikuwa na mchango katika maisha yake. Sishindwi kumsomesha ila ninachotaka na yeye achangie kumsomesha mwanaye. Nifanyeje wadau...
Asanteni
Mwenzenu mie ni mama wa mtoto mtoto mmoja... (single mother) sasa huyu mzazi mwenzangu kiukweli naeza sema kanitelekeza kabisaaa... Kwani majukumu yoote ya kumlea mwanetu nayabeba mie includes school fees, uniform, vitabu, madaftari, kalamu, chakula, malazi na hata mavazi. Kama mjuavyo English Medium School ada zake ni 1m+ per year.
Nimekuwa nikilipa ada hiyo huu ni mwaka wa sita (6) sasa. Huyu baba si kwamba hana uwezo, mshahara wake ni mara 4 ya mshahara wangu ila sijui ni kwanini hataki kumsomesha mwanaye. Kila nikimueleza anadai majukumu ni mengi aliyonayo. Hata mimi pia nina majukumu sio kwamba ninaishi peke yangu.
Hapa ninachoomba ushauri, ni kwamba nifanyeje ili awe responsible kwa mwanaye. Make mwisho wa siku mtoto huyooo atamfuata baba yake na hatojali kama baba yake alikuwa na mchango katika maisha yake. Sishindwi kumsomesha ila ninachotaka na yeye achangie kumsomesha mwanaye. Nifanyeje wadau...
Asanteni