Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 164
Heshima Mbele,
Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa muda wa mwezi sasa nimekuwa mtazamaji wa Jf Bila kuchangia maada yeyote na hii ilitokana na Hotuba aliyoitoa Muungwana pale Dodoma,Pia kufuatia na Ripoti ya utekelezaji wa serikali katika ripoti ya RDC.
Mie nadhani imetosha sasa,sababu tumeshindwa kuwajadili kwa hoja na sasa inabidi tujipange kisera.Tuzungumzie jinsi ya ssisi kuwakomboa watanzania wenzetu.Na ningependa tusitishe mijadala ya Ufisaid na tuanze kuwabana katika habari za maendeleo.
Tupitie Jimbo hadi jimbo kueleza uozo wa wabunge ambao wamewshindwa kutekeleza ahadi zao kwa wananchi.Tueleze nini kifanyike.Mafisadi wana nguvu kuu ambayo haiwezi kuvunjwa hata kama mwanakijiji akilala masaa matano tu kwa siku.
Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa muda wa mwezi sasa nimekuwa mtazamaji wa Jf Bila kuchangia maada yeyote na hii ilitokana na Hotuba aliyoitoa Muungwana pale Dodoma,Pia kufuatia na Ripoti ya utekelezaji wa serikali katika ripoti ya RDC.
Mie nadhani imetosha sasa,sababu tumeshindwa kuwajadili kwa hoja na sasa inabidi tujipange kisera.Tuzungumzie jinsi ya ssisi kuwakomboa watanzania wenzetu.Na ningependa tusitishe mijadala ya Ufisaid na tuanze kuwabana katika habari za maendeleo.
Tupitie Jimbo hadi jimbo kueleza uozo wa wabunge ambao wamewshindwa kutekeleza ahadi zao kwa wananchi.Tueleze nini kifanyike.Mafisadi wana nguvu kuu ambayo haiwezi kuvunjwa hata kama mwanakijiji akilala masaa matano tu kwa siku.