.....wanawake uwa wanawashwa sana ....ikizidi hali ya joto mwilini ....mwanaume anaweza kukomaa tu...lakini wote wana tamani kufanya...mwanaume anaweza kukaa muda mrefu bila kufanya ngono
jibuni kwa kutoa na sababu za kitaalam sio mtu anajibu tu wanawake au wanaume. Halafu inategemea maana hata kujichua nayo ni kufanya ngono maana si mtu anafika peponi sasa hilo swali sijui linamaanisha kutumbukiza ndizi kwenye kitumbua i dont know
Weka swali lako vizuri. Kama wako mazingira sawa jibu ni tofauti na wakiwa mazingira tofauti. Na kazi wanazofanya, na umri wao. Huwezi kumlinganisha mwanamke wa miaka 50 na kijana wa miaka 25 unataka kujua nani atavumilia zaidi.
Kifupi fafanua swali lako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.