Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,056
Naomba kuhoji
Ivi unapomuuzia mtu sigara na unajua ina madhara kwa afya huoni unatenda dhambi.
Labda hujanielewa.
Naanzia nyuma kidogo;
Unapoamua kuanzisha biashara ya kusambaza au kuuza sigara kimsingi unaipromote izidi kukuwa.
Najua unatafuta hela sawa but in expense of someone's life.Haijakaa sawa.
Utanielewa tuu.
Unapoona mtu anasumbuliwa na mapafu tuseme yametoboka au kalazwa unajisikiaje.
Umesema haujisikii chochote alitaka mwenyewe au tuseme umesema kila mtu atakufa.
Tuanzie apo,angekuwa mwanao au baba yako ungejisikiaje na wewe ndo muuzaji na msambazaji mkuu.
Huna huruma unachowaza ni pesa tuu kwani hakuna biashara nyingine?
Kodi
Sawa mnalipa kodi lakini kodi hiyo hiyo ndo inatumika kununua madawa ya kuja kuwatibia wagonjwa of which was absolute unnecessary.
Ajira
Sijafanyia utafiti kuhusu proportion ya ajira zinazotolewa nilinganishe na idadi ya vifo lakin nadhan kiujumla nguvu kazi ya taifa inatakiwa iwe protected at all cost.
Kabla sijawakilisha
Dhumuni la huu uzi ni kutaka kujua wahusika halisi wa hii biashara huwa conscious yenu iko vipi.Ni kuwa mmejitoa akili au namna gan??
Povu ruksa kuna watu najua wako addicted so watakuwa offended kwa namna flan.
10 Serious Effects of Cigarette Smoking on Environment and Human Health - Conserve Energy Future
Ivi unapomuuzia mtu sigara na unajua ina madhara kwa afya huoni unatenda dhambi.
Labda hujanielewa.
Naanzia nyuma kidogo;
Unapoamua kuanzisha biashara ya kusambaza au kuuza sigara kimsingi unaipromote izidi kukuwa.
Najua unatafuta hela sawa but in expense of someone's life.Haijakaa sawa.
Utanielewa tuu.
Unapoona mtu anasumbuliwa na mapafu tuseme yametoboka au kalazwa unajisikiaje.
Umesema haujisikii chochote alitaka mwenyewe au tuseme umesema kila mtu atakufa.
Tuanzie apo,angekuwa mwanao au baba yako ungejisikiaje na wewe ndo muuzaji na msambazaji mkuu.
Huna huruma unachowaza ni pesa tuu kwani hakuna biashara nyingine?
Kodi
Sawa mnalipa kodi lakini kodi hiyo hiyo ndo inatumika kununua madawa ya kuja kuwatibia wagonjwa of which was absolute unnecessary.
Ajira
Sijafanyia utafiti kuhusu proportion ya ajira zinazotolewa nilinganishe na idadi ya vifo lakin nadhan kiujumla nguvu kazi ya taifa inatakiwa iwe protected at all cost.
Kabla sijawakilisha
Dhumuni la huu uzi ni kutaka kujua wahusika halisi wa hii biashara huwa conscious yenu iko vipi.Ni kuwa mmejitoa akili au namna gan??
Povu ruksa kuna watu najua wako addicted so watakuwa offended kwa namna flan.
10 Serious Effects of Cigarette Smoking on Environment and Human Health - Conserve Energy Future