Uwajibikaji: Kukatika kwa umeme mkuu wa viwanja vya Ndege afutwa kazi

Uwajibikaji: Kukatika kwa umeme mkuu wa viwanja vya Ndege afutwa kazi

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Hii haijatokea kwetu ni huko Kenya wanako jua maaana ya uwajibikaji.

Baada ya kukatika umeme kwa masaa mawili uwanja wa Ndege wa Nairobi taarifa ya hivi punde ni kuwa mkuu wa viwanja vya Ndege amefutwa kazi.
 
Back
Top Bottom