Uwajibikaji na uwazi wa wenzetu katika sekta ya Ushushushu

Uwajibikaji na uwazi wa wenzetu katika sekta ya Ushushushu

Mzalendo_Mwandamizi

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2007
Posts
1,117
Reaction score
4,772
Nchi kadhaa za Magharibi zina utaratibu wa kila mwaka kutoa tathmini/ripoti ya hali ya usalama wa taifa, ambapo pamoja na unyeti unatawala shughuli za taasisi za kishushushu, wananchi hupatiwa fursa adimu ya "kufahamu kinachoendelea" japo kidogo. Wakati kwa hapa Uingereza, ripoti husika hutolewa na kamati ya usalama ya bunge kwa niaba ya taasisi tatu kuu za ushushushu hapa:

MI5 (ya ushushushu wa ndani)

40ac24b6f176963abbf903c22ecfb7c1.jpg


MI6 (ya ushushushu wa nje a.k.a ujasusi)

1589abd5c26cc8a4d651bda286c6cc17.jpg


na GCHQ ya kunasa mawasiliano,

1159326799e0133baf3b65b2a03ab732.jpg


Katika nchi nyingine, ripoti kama hiyo hutolewa na taasisi husika za ushushushu. Japo si lazima, utabibu huu unakuza uwajibikaji na uwazi katika sekta ya usalama wa taifa na taasisi husika.

Ripoti husika ni hii EVARIST CHAHALI has shared a file with you - Acrobat.com

230deb40772e04594a90b3775d60de41.jpg
 
Mkuu,

No secrecy in demochaos environment.

Usitarajie hiyo kwa Africa maan, tunao maadui wengi sana.
 
TANZANIA haiwezekani, bado wako bize kufuatilia tukio la TL
 
Tuna maadui kuliko British na US??

nsharighe ,
Mkuu,
Maadui wa UK au USA ni wa kujitafutia.
Pili, wanateknolojia kubwa kuhimili vitisho na aina mbalimbali za maadui.

Ila kwa , Africa tuna madui wengi Sana, mfano, wanaotaka, raslimali, wanaotaka wapandikize viongozi wao, wanaotaka wafanye biashara za silaha, wanaotaka dini zao zitawale bara zina , wanaotaka kuuza dawa za hospital hadi kwa kutuletea magonjwa yaliyotengenzwa maabara, ndani yetu wapo wasioitakia Africa/zao wenyewe amani na usalama, walafi wa madaraka ndani yetu wamo...
Hayo, ni baadhi tu ya maeneo ila yapo mengi sana.

Kila aina ya fujo ipo Africa.

Bora tu tufanye mambo yetu ya intelijensia kuwa siri na na kuyaweka sirini kabisa....

Utaelewa ninachokiandika as how days moves on. Unaweza usielewe kwa sasa.
 
bado tunaishi kwenye dunia ya uongo,unafki,chuki,visasi na ubinafsi kwenye level ya kisiasa na uongozi wa kitaifa...
uwazi huo ni vigumu sana kutamalaki ktk nchi nyingi za kiafrika...... tuendelee tuu na siri madhambi.....
 
Back
Top Bottom