Uwajibikaji sifuri: Mtandao wa malipo TRA Mbeya hauturusu kupata leseni za Udereva

Uwajibikaji sifuri: Mtandao wa malipo TRA Mbeya hauturusu kupata leseni za Udereva

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ni kama utani vile lakini ndio hali halisi.

Mtandao wa kupata leseni za Udereva kwa wiki mbili na zaidi haupo hovyo hata kulipia huwezi kabisa, Mbaya zaidi hawajatangazia Umma hiki kitu.

Iweje mtandao tuliosuka wenyewe utusumbue kihivyo, au hao wataalamu wa IT ni wajomba wa watu fulani waliopachikwa na vyeti vyao lakini hawana uwezo.

Hali ni mbaya wiki mbili mfululizo
 
Hilo ni kweli, hata Dar mfumo wote unazingua lakini nasikia ni kwa sababu kuna mabadiliko yanafanyika kwa ajili ya huu mwaka mpya ulioanza.
 
Hilo ni kweli, hata Dar mfumo wote unazingua lakini nasikia ni kwa sababu kuna mabadiliko yanafanyika kwa ajili ya huu mwaka mpya ulioanza.
sasa wanafanyaje hio update bila kutoa taarifa, Wanadhani tutaendesha magari bila leseni
 
Mimi nimerenew jana leseni na baada ya lisaa li 1 nimepata leseni mpya wakuu... Nikaona TRA round hii wamejipanga sana!! Sijajua kwa leseni mpya ipo vipi
 
Mimi nimerenew jana leseni na baada ya lisaa li 1 nimepata leseni mpya wakuu... Nikaona TRA round hii wamejipanga sana!! Sijajua kwa leseni mpya ipo vipi
mkuu ulienda ofisi ya mkoa gani, na mimi pia ni kurenew, vipi ulienda kwa matrafiki,,,Ndio na renew leseni kwa mara ya kwanza, nipe hatua ulizopitia
 
Back
Top Bottom