Hivi ni kampuni gani kati ya M-Pesa, Tigopesa, Airtel Money na Ezypesa ambayo inaongoza kwa kulipa vizuri commision kwa mawakala wake? Ningependa kujua ambayo inaongoza na ambayo inalipa commission kidogo zaidi kuliko nyengine.
It depends on the location of the AGENT, Kwa DAR tigo wanalipa vizuri Na kwa mikoani VODA inafanya vizuri...anyways It can vary depends on your location