uwakala wa M - PESA NA TIGO PESA UMEFUNGWA AU NI MIZENGWE?

uwakala wa M - PESA NA TIGO PESA UMEFUNGWA AU NI MIZENGWE?

Bilionea one

Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
90
Reaction score
47
Wakuu nilikwenda Tigo pesa mlimani ciy kuomba uwakala wakaniambia hawataki mawakala wapya. Waliopo wanatosha.Nikaenda Vada kuomba m pesa wakaniambia acha leseni na TIN tutakupigia kwa muda wetu. Heri mPESA KIDOGO. Ina maana tIGO PESA WAMESHIBA PESA.
Je, nikshindwa kupata naweza kununua kutoka kwa mtu na nikafankiwa? Au haiwezekani? Naomba ushauri kwa sababu nataka kuwa wakala kampuni zote 3 kubwa. Airtel hawana shida.
 
Huenda ulipokwenda ofisi zao hukuonana na wahusika sahihi. Jaribu kumtafuta wakala akuelekeze ni jinsi gani unapaswa kufanya ili uweze kuonana na muhusika wa uwakala. Nenda tena, kumbuka ni kosa kubwa kukata tamaa. Nakutakia mafanikio mema.
 
Back
Top Bottom