Mkuu,Taarifa zako zinahitaji kudadavuliwa zaidi mfano,Unahitaji wabia wa aina gani,wenye sifa gani,watafaidikaje na ubia huu.Ni muhimu ukawapa nyama zaidi kuhusu fursa zilizomo,matarajio yako kutoka kwao.
Unaweza kuwa na fursa nzuri ili jinsi unavoiweka mezani ikawa vigumu sana kuiuza au ukapa wrong people.
Kila la heri