kweli africa ni wachafu ila hatuwazidi wahidi wale viumbe hapana..Ukiangalia mechi inayochezwa pale katika uwanja wa UHURU - Dar es Salaam, basi maeneo ya majukwaa YANATIA KINYAAA.
ULE ukoko unapaswa kuondolewa kwa kuwa sisi tunatabia za uchafu, basi yale maeneo yapakwe rangi NYEUSI ili ionekane ni rangi siyo uchafu.
Kwakweli tuache uvivu TUJIPENDE.
Umenichekesha sana.kweli africa ni wachafu ila hatuwazidi wahidi wale viumbe hapana..
Huu uwanja mm bado sielewi sijui wana mpango gani nao, yani hata kupaka rangi mistari ile wanashindwa pitch inkw mbaya tu pitch chafu, majukwaa machafu, uwanja wa zamani mpk leo hata taa hauna, mechi zikioneshwa pale hazionekani vizuri km vile camera zimewekwa nyuma ya mabenchi ya ufundi hata huelewi wachezaji wanachz mifumo gani uwanjani...yani ovyo ovyoUkiangalia mechi inayochezwa pale katika uwanja wa UHURU - Dar es Salaam, basi maeneo ya majukwaa YANATIA KINYAAA.
ULE ukoko unapaswa kuondolewa kwa kuwa sisi tunatabia za uchafu, basi yale maeneo yapakwe rangi NYEUSI ili ionekane ni rangi siyo uchafu.
Kwakweli tuache uvivu TUJIPENDE.
Juzi niliangalia mechi hata mabenchi ya wachezaji wa akiba, vile vibanda vimebomoka bomoka na kuendeleza hali ya UCHAFU.Huu uwanja mm bado sielewi sijui wana mpango gani nao, yani hata kupaka rangi mistari ile wanashindwa pitch inkw mbaya tu pitch chafu, majukwaa machafu, uwanja wa zamani mpk leo hata taa hauna, mechi zikioneshwa pale hazionekani vizuri km vile camera zimewekwa nyuma ya mabenchi ya ufundi hata huelewi wachezaji wanachz mifumo gani uwanjani...yani ovyo ovyo