Uwanja sawa, lakini Bil. 2 hapana!

Mkuu umeandika mambo mengi mazuri lakini hujajibu hoja ya jamaa kwamba kimsingi je hiyo 2b ambayo si haba anaitoa kama mwanachama au shabiki wa kawaida au kama mwekezaji ? Nafikiri hoja iko hapo . Kwamba , kama anatoa 2b kuonesha mfano kwa wanachama , wapenzi , mashabiki na wadau wa soka kuchangia basi ni jambo jema sana ; lakini kama hiyo 2B itahesabiwa ktk zile 20B basi itakuwa si sawa . Atapaswa kuchangia kutokana na 49% ya hisa zake maana atakuwa mmiliki kwa 49% kwa hiyo lazima afanye kitu zaidi ya 2B .
 
Japokuwa mimi ni Simba dam dam ila hili nililipinga tangu mwanzo ila wakaishia kuniita mwana utopolo na wengine wakadiriki hata kuniuliza nateseka nikiwa wapi, ila huo ndio uhalisia hapa Mo anatupiga kama wana simba.
Unateseka ukiwa wapi

Mo sio wa kwanza kutupiga muache atupige tu ila la muhimu anayoyatamka ayafanyie kazi full stop....
 
Wanachama wa simba inabidi wachangie 51% ya pesa zinazohitajika na Mo achangie 49% ya pesa,,,, kama Mo amechangia B2 kama mwanachama mwenye mapenzi na simba haimaanishi nafasi take kama mdhamini haipo na uwekezaji wake kwenye uwanja inabidi uwe more than 13 billions coz kwenye hesabu ya mapato yatakayotokana na uwanja hawataangalia alitoa shilingi ngapi Bali asilimia zake 49 zitazingatiwa.
 
Hawawezi kukuelewa,inatakiwa wafanye tathmin ya gharama za ujenzi halafu tajiri yao alipe 49%wanachama watoe jumla 51%.Acha wapigwe kwa chupa ya mirinda.
 
Halafu uamuzi wa kujenga uwanja ulikuja baadaye ya CO kuhimizwa afuate taratibu ambazo alitaka kuzinajisi,ina maana kwenye uwanja wao hakutakuwa na taratibu na kanu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…