je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Wote tunajua capacity ya uwanja wa Mkapa ni 60,0000. Ila ninavyojua Selcom hapa tiketi zitauzwa zaidi 70,000 na milango itachelewa kufunguliwa ili wengine wachelewe na kuambiwa uwanja umejaaa.
Watakao chelewa imekula kwao na hela zao zimeenda kwa wajanja wa town. Yaani wababaishaji waliozoea kuibia watu.
Pia, soma: Mashabiki wavunja mageti uwanja wa Benjamin Mkapa
Watakao chelewa imekula kwao na hela zao zimeenda kwa wajanja wa town. Yaani wababaishaji waliozoea kuibia watu.
Pia, soma: Mashabiki wavunja mageti uwanja wa Benjamin Mkapa