Uwanja wa Benjamin Mkapa | Simba Super Cup, Simba SC Vs Al Hilal Club

Wanakwenda Al Hilal wanapiga wanababatiza na inakuwa kona kuelekea Simba

Inapigwaaaa wanakosa, wabeki wa Simba wanaokoa
 
38' Chikwende anakwendaa Kwake Chamaaa, Bwalyaaaaa anapiga

Gooooooooaaal Gooooooooaaal

Rally Bwalya anaipatia Simba SC bao la kwanza

Simba SC 1-0 Al Hilal
 
Namna gani hapa Chamaaaa anakosa nafasi ya wazi, ilikuwa hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…