Kwahivyo unateseka na lipi hapo? Mdhamini au Mc..hakuna ligi ya hivyo mkuu, usijifaliji kwa ujinga wa namna iyo ligi mdhamini wake ni nani (mwamedi) mc wa shughuri (manara)
ligi upumbavu
wewe ni liutopolo likubwa kabisa, huu ujinga wa kusema ili iwe ligi lazima kuwe na mdhamini umeupata wapi? Hivi unajua maana ya ligi?hakuna ligi ya hivyo mkuu, usijifaliji kwa ujinga wa namna iyo ligi mdhamini wake ni nani (mwamedi) mc wa shughuri (manara)
ligi upumbavua , hivi unajua maana ya ligi lakini?
ligi ni mashindano baina ya vilabu vya soka kwa muda flani wakigombea kikombe/ubingwawewe ni liutopolo likubwa kabisa, huu ujinga wa kusema ili iwe ligi lazima kuwe na mdhamini umeupata wapi? Hivi unajua maana ya ligi?
Watu wana test mitambo wewe unaita bonanza??INA maana mpaka sasa hivi hujaelewa madhumuni ya hii kitu wewe unaita bonanza??Gadiel Michael hata kwenye mabonanza haaminiki.!?
Maana nyingine Simba INA wachezaji wa kiwango CHa juu ndio maana wakienda Yanga wanatamba.Kumbuka wanaenda wakiwa wameshachezea Simba, huwezi kusema wanakuzwa Huko.Karibia wachezaji wote wanaotoka Yanga na kwenda Simba, huishia tu kusugua benchi! Kuanzia Ajibu, Gadiel Michael, Morrison, Benno Kakolanya, nk!
Ila wakitoka Simba na kuja Yanga, huwa moto balaa! Kuanzia Kelvin Yondani, Amis Tambwe, Dida, Ajibu, na wengineo wengi. Hii inamaanisha Yanga ina uwezo mzuri wa kuwajenga na kuwatumia vizuri wachezaji kuliko Simba.
Maana sahihi ni hii; Yanga inajua kuwatumia vizuri wachezaji kuliko timu yenu ya Simba.Maana nyingine Simba INA wachezaji wa kiwango CHa juu ndio maana wakienda Yanga wanatamba.Kumbuka wanaenda wakiwa wameshachezea Simba, huwezi kusema wanakuzwa Huko.
Na Yanga INA wachezaji wa viwango vya chini ndio maana Wakienda Simba wanashindwa kutamba.
Hajui kwamba ligi ya Zanzibar inachezwa bila wadhaminiwewe ni liutopolo likubwa kabisa, huu ujinga wa kusema ili iwe ligi lazima kuwe na mdhamini umeupata wapi? Hivi unajua maana ya ligi?
MMEWASHUSHA SASA LE TUPWISA?Mkuu unateseka ukiwa wapi?
" Wanasema Platnum shusha,
Wapinzani shusha,
Yeyote anaelia lia shusha.."
In Mpenja's voice
MBONA AZAM TV WALIVIWEKA?Vikosi vya timu pinzani vinachelewa sana kutoka hata VPL tunaona, vinatoka pengine mpira bado dakika chache kuanza.!
LINE UP YA UPANDE MMOJA TU?Mkuu kimechelewa kidogo kutoka lakini kipo tayari hapo kwenye ubao, pamoja sana!