Uwanja wa JKT ni bora sana

Ni nani hasa anayelazimisha Mechi zichezwe pale...? Tifutifu au Wanajeshi?

Imekuwa bahati tu Leo haijapatikana injury kubwa...! Wanajeshi Wapewe Muda Wapaendeleze kwa Kweli na Sio kama palivyo Sasa...
 
Sisi wa Nanjilinji bila picha hapa hatuelewi kitu
 
Ila wajeda bwana kuna wakati wana mizinguo, naamini wangeweza kuweka hata mabenchi ya muda wakaamua kukausha. Halafu wakaweka kiingilio buku 10. Dah au ni kulipiza kisasi kwa Simba kuishusha daraja Ruvu Shooting msimu uliopita?
 
Embu tuone ukoka wa Mbweni basi?

Hivi Elnino hii huo uwanja wa Generali haukujaa maji?
 
Ule uwanja ukitunzwa vizuri utakuwa uwanja Bora sana huwezi kulinganisha na viwanja vyote ambavyo vimecheza round hii ya mwisho (Pitch) mpira ulikuwa unatembea vizuri
 
Hata mechi na utopolo iende pale pale,hakuna ujanja ujanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…