Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
kwa ninayoyaona sidhani kama tunastahili kuumiza wachezaji uwanja akama ule.
Uwanja ni mbovu haufai kabisa unatesa wachezaji na ni risk sana.
Tunaomba ukakaguliwe upya na aliyeupitisha achunguzwe alifuata sheria na vigezo vipi?
Hakuna mvuto kabisaaa wa kuangalia mpira kwenye huu uwanja.
Uwanja ni mbovu haufai kabisa unatesa wachezaji na ni risk sana.
Tunaomba ukakaguliwe upya na aliyeupitisha achunguzwe alifuata sheria na vigezo vipi?
Hakuna mvuto kabisaaa wa kuangalia mpira kwenye huu uwanja.