Uwanja wa KMC Complex kufungwa camera, taa na AC kabla ya Januari 2025

Uwanja wa KMC Complex kufungwa camera, taa na AC kabla ya Januari 2025

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mwenyekiti wa Bodi KMC na Meya wa Kinondoni, Songoro Khamis Mnyonge, amesema uwanja wao wa KMC Complex, umekamilika kwa asilimia 95 na matamanio yao kwa sasa ni kuufunga Camera, Taa pamoja na AC kabla ya Januari, 2025.

Hivi karibuni timu ya Yanga ilitangaza kuhamia uwanja wa KMC complex kutokea Chamazi complex baada ya kufungwa mechi mbili mfululizo dhidi ya Azam FC na Tabora United.

Soma pia: Ali Kamwe aiongoza Yanga SC kusafisha Uwanja wa KMC Complex



Chanzo: ITV
 
Watamuwekea kinyongo huyo Meya waanze kumtukana
 
Uwanja huu upon sehemu nzuri sana yaani nafikika na Kila mwana Dar es salaam.manispaa ya kinondoni itapata sana pesa
 
Kipaumbele kingekuwa viti, uwanja watu wanasimama vichochoroni na katika makorido kuangalia mpira.

Hayo ma AC ndiyo watu wanaenda kuwekeana dawa. Timu zinazojitambua zitahakikisha AC za vyumbani mwao haziwashwi tena masaa 12 kabla ya mechi.

Kuhusu taa, bado viwanja vyetu vingi vina taa za quality ndogo sana. Tunatumia taa za ulinzi kumulikia viwanja.
 
Mwenyekiti wa Bodi KMC na Meya wa Kinondoni, Songoro Khamis Mnyonge, amesema uwanja wao wa KMC Complex, umekamilika kwa asilimia 95 na matamanio yao kwa sasa ni kuufunga Camera, Taa pamoja na AC kabla ya Januari, 2025.

Hivi karibuni timu ya Yanga ilitangaza kuhamia uwanja wa KMC complex kutokea Chamazi complex baada ya kufungwa mechi mbili mfululizo dhidi ya Azam FC na Tabora United.

Soma pia: Ali Kamwe aiongoza Yanga SC kusafisha Uwanja wa KMC Complex



Chanzo: ITV
Yanga itabidi wahamie Manungu complex ndiko hakuna camera.
 
Back
Top Bottom