Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Za ndani kabisa ni kwamba agizo imetolewa uwanja wa KMC kufanyiwa marekebisho kwahiyo timu zinazotumia huo uwanja zitafute viwanja vingine vya kutumia.
Soma Pia: Uwanja wa KMC Complex kufungwa camera, taa na AC kabla ya Januari 2025
Soma Pia: Uwanja wa KMC Complex kufungwa camera, taa na AC kabla ya Januari 2025