[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mjinga ni yule anayemwita mwenzake mjinga Na. Kwa7bu Ya Chuki binafsi Na. Kutokumpenda mtu.wenzako wanapenda vyao wewe utakufa Na. Chuki
Na mrisho gamboNi sahihi tu, si lazima vitu vyote vitajwe kwa majina ya wanasiasa .hata sisi tubadilike, Si kila kitu kitajwe kwa watu walewale tu. Ni vizuri pia tuwakumbuke na kuwaenzi mashujaa wetu wengine kama Mbaraka Mwishehe, Muhidini Gurumo, Abdallah Kibaden, Gibson Sembuli,Suleiman Nyambui, Filbert Bayi,Amina Chifupa,Peter Tino, Amiri Andanenga,Morris Nyunyusa nk.Haiwezekani kila kitu ni jina la mtu mmoja tu.madaraja, mitaa, viwanja vya mpira,viwanja vya ndege,shule, vyuo nk ni wanasiasa watupu. angalau zamani walienziwa watu kama Shaaban Robert, Kbasila, Milambo, Tambaza, Kimweri, Sewa Haji, nk. Hatujachelewa tuwaenzi mashujaa wapya
Sisi siasa tu kila kitu ndo maana na msanii aliyechora nembo ya taifa alikuwa anaishi kwenye matakataka mpaka dakika za mwisho ( km ni yeye lkn maana hata data hazipo kwenye database za taifa)Ni sahihi tu, si lazima vitu vyote vitajwe kwa majina ya wanasiasa .hata sisi tubadilike, Si kila kitu kitajwe kwa watu walewale tu. Ni vizuri pia tuwakumbuke na kuwaenzi mashujaa wetu wengine kama Mbaraka Mwishehe, Muhidini Gurumo, Abdallah Kibaden, Gibson Sembuli,Suleiman Nyambui, Filbert Bayi,Amina Chifupa,Peter Tino, Amiri Andanenga,Morris Nyunyusa nk.Haiwezekani kila kitu ni jina la mtu mmoja tu.madaraja, mitaa, viwanja vya mpira,viwanja vya ndege,shule, vyuo nk ni wanasiasa watupu. angalau zamani walienziwa watu kama Shaaban Robert, Kbasila, Milambo, Tambaza, Kimweri, Sewa Haji, nk. Hatujachelewa tuwaenzi mashujaa wapya