DOKEZO Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ni aibu kwa jiji

DOKEZO Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ni aibu kwa jiji

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

briophyta plantae

Senior Member
Joined
Feb 18, 2017
Posts
117
Reaction score
132
Uwanja wa michezo wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid ni uwanja wa michezo uliopo katika jiji la Arusha

Uwanja huu hutumika sana kwa ajili ya mchezo wa mpira wa miguu (soka)na shughuli nyingine mbalimbali za kitaifa. mchezo wa kwanza wa Futboli ya Kimarekani nchini Tanzania ulionyeshwa katika uwanja huu, ni uwanja wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000.

Uwanja huu ulipewa jina hili ili kumuenzi Meya wa kwanza muafrika Kaluta Amri Abeid.

hivi majuzi kumefanyika mchezo kati ya costal unioni ya tanga na azam fc ya dar es salaam, maoni yangu kwa kulinganisha hadhi ya mkoa wa arusha na ikiwa kama kiwanja kilichopo katikati ya mji na wenye historia kubwa basi inaleta mtazamo wa kiwanja cha hovyo kabisa.

licha ya kiwanja kipya kujengwa ndani ya jiji ya arusha haina maana tusahau hichi tulichonacho kwa sasa. Unaangalia mpira kupitia televisheni unaona ni kama wanachezea kwenye shamba lililosahaulika tu. Hivi jukwaa kulipiga rangi mara kwa mara inasaidia nini, si bora wapige tarazo (mafundi wanaelewa) ya rangi mbali mbali zinazovutia..?

Mkandarasi anayejenga uwanja mpya kwanini asipewe sub contract akarabati huu uwanja? Hiyo pitch ya kuchezea nadhani ipo hivyo hivyo kwa miaka yote, haijawahi badilika.

Runway yenyewe ya kukimbia ni ya vumbi na wanariadha wetu wengi wanatoka Arusha na Manyara, aisee ni kituko.

Jiji la Arusha hamuoni hili kweli?

Tafadhali huu uwanja uangaliwe kwa jicho la tatu.

  • Majukuwaa yafanyiwe ukarabati na kuongezewa ikiwezekana.
  • Vyoo sidhani kama vinakidhi mahitaji.
  • Frame zinazozunguka uwanja zikarabatiwe na ziwe uniform kuleta muonekano mzuri.
  • Vyumba vya kubadili nguo na mabafu.
  • Taa za kisasa kuwezesha mechi kuchezwa hata usiku.
  • Runway itengenezwe vzr inavyostahili.

images (8).jpeg
images (9).jpeg
 
Uwanja wa michezo wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid ni uwanja wa michezo uliopo katika jiji la Arusha

Uwanja huu hutumika sana kwa ajili ya mchezo wa mpira wa miguu (soka)na shughuli nyingine mbalimbali za kitaifa. mchezo wa kwanza wa Futboli ya Kimarekani nchini Tanzania ulionyeshwa katika uwanja huu, ni uwanja wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000.

Uwanja huu ulipewa jina hili ili kumuenzi Meya wa kwanza muafrika Kaluta Amri Abeid.

hivi majuzi kumefanyika mchezo kati ya costal unioni ya tanga na azam fc ya dar es salaam, maoni yangu kwa kulinganisha hadhi ya mkoa wa arusha na ikiwa kama kiwanja kilichopo katikati ya mji na wenye historia kubwa basi inaleta mtazamo wa kiwanja cha hovyo kabisa.

licha ya kiwanja kipya kujengwa ndani ya jiji ya arusha haina maana tusahau hichi tulichonacho kwa sasa. Unaangalia mpira kupitia televisheni unaona ni kama wanachezea kwenye shamba lililosahaulika tu. Hivi jukwaa kulipiga rangi mara kwa mara inasaidia nini, si bora wapige tarazo (mafundi wanaelewa) ya rangi mbali mbali zinazovutia..?

Mkandarasi anayejenga uwanja mpya kwanini asipewe sub contract akarabati huu uwanja? Hiyo pitch ya kuchezea nadhani ipo hivyo hivyo kwa miaka yote, haijawahi badilika.

Runway yenyewe ya kukimbia ni ya vumbi na wanariadha wetu wengi wanatoka Arusha na Manyara, aisee ni kituko.

Jiji la Arusha hamuoni hili kweli?

Tafadhali huu uwanja uangaliwe kwa jicho la tatu.

  • Majukuwaa yafanyiwe ukarabati na kuongezewa ikiwezekana.
  • Vyoo sidhani kama vinakidhi mahitaji.
  • Frame zinazozunguka uwanja zikarabatiwe na ziwe uniform kuleta muonekano mzuri.
  • Vyumba vya kubadili nguo na mabafu.
  • Taa za kisasa kuwezesha mechi kuchezwa hata usiku.
  • Runway itengenezwe vzr inavyostahili.

View attachment 3247929View attachment 3247931
Mkuu iyo n uwanja wa ccm syo ya taifa wala mtu bnafs chama awana mda wakurekebsha uwanja wao
 
Uwanja wa michezo wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid ni uwanja wa michezo uliopo katika jiji la Arusha

Uwanja huu hutumika sana kwa ajili ya mchezo wa mpira wa miguu (soka)na shughuli nyingine mbalimbali za kitaifa. mchezo wa kwanza wa Futboli ya Kimarekani nchini Tanzania ulionyeshwa katika uwanja huu, ni uwanja wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000.

Uwanja huu ulipewa jina hili ili kumuenzi Meya wa kwanza muafrika Kaluta Amri Abeid.

hivi majuzi kumefanyika mchezo kati ya costal unioni ya tanga na azam fc ya dar es salaam, maoni yangu kwa kulinganisha hadhi ya mkoa wa arusha na ikiwa kama kiwanja kilichopo katikati ya mji na wenye historia kubwa basi inaleta mtazamo wa kiwanja cha hovyo kabisa.

licha ya kiwanja kipya kujengwa ndani ya jiji ya arusha haina maana tusahau hichi tulichonacho kwa sasa. Unaangalia mpira kupitia televisheni unaona ni kama wanachezea kwenye shamba lililosahaulika tu. Hivi jukwaa kulipiga rangi mara kwa mara inasaidia nini, si bora wapige tarazo (mafundi wanaelewa) ya rangi mbali mbali zinazovutia..?

Mkandarasi anayejenga uwanja mpya kwanini asipewe sub contract akarabati huu uwanja? Hiyo pitch ya kuchezea nadhani ipo hivyo hivyo kwa miaka yote, haijawahi badilika.

Runway yenyewe ya kukimbia ni ya vumbi na wanariadha wetu wengi wanatoka Arusha na Manyara, aisee ni kituko.

Jiji la Arusha hamuoni hili kweli?

Tafadhali huu uwanja uangaliwe kwa jicho la tatu.

  • Majukuwaa yafanyiwe ukarabati na kuongezewa ikiwezekana.
  • Vyoo sidhani kama vinakidhi mahitaji.
  • Frame zinazozunguka uwanja zikarabatiwe na ziwe uniform kuleta muonekano mzuri.
  • Vyumba vya kubadili nguo na mabafu.
  • Taa za kisasa kuwezesha mechi kuchezwa hata usiku.
  • Runway itengenezwe vzr inavyostahili.

View attachment 3247929View attachment 3247931
Una hoja usikilizwe, ila baada ya kukamilika uwanja mpya serikali ibadilishe matumizi ya huo uwanja.
 
Uwanja wa michezo wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid ni uwanja wa michezo uliopo katika jiji la Arusha

Uwanja huu hutumika sana kwa ajili ya mchezo wa mpira wa miguu (soka)na shughuli nyingine mbalimbali za kitaifa. mchezo wa kwanza wa Futboli ya Kimarekani nchini Tanzania ulionyeshwa katika uwanja huu, ni uwanja wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000.

Uwanja huu ulipewa jina hili ili kumuenzi Meya wa kwanza muafrika Kaluta Amri Abeid.

hivi majuzi kumefanyika mchezo kati ya costal unioni ya tanga na azam fc ya dar es salaam, maoni yangu kwa kulinganisha hadhi ya mkoa wa arusha na ikiwa kama kiwanja kilichopo katikati ya mji na wenye historia kubwa basi inaleta mtazamo wa kiwanja cha hovyo kabisa.

licha ya kiwanja kipya kujengwa ndani ya jiji ya arusha haina maana tusahau hichi tulichonacho kwa sasa. Unaangalia mpira kupitia televisheni unaona ni kama wanachezea kwenye shamba lililosahaulika tu. Hivi jukwaa kulipiga rangi mara kwa mara inasaidia nini, si bora wapige tarazo (mafundi wanaelewa) ya rangi mbali mbali zinazovutia..?

Mkandarasi anayejenga uwanja mpya kwanini asipewe sub contract akarabati huu uwanja? Hiyo pitch ya kuchezea nadhani ipo hivyo hivyo kwa miaka yote, haijawahi badilika.

Runway yenyewe ya kukimbia ni ya vumbi na wanariadha wetu wengi wanatoka Arusha na Manyara, aisee ni kituko.

Jiji la Arusha hamuoni hili kweli?

Tafadhali huu uwanja uangaliwe kwa jicho la tatu.

  • Majukuwaa yafanyiwe ukarabati na kuongezewa ikiwezekana.
  • Vyoo sidhani kama vinakidhi mahitaji.
  • Frame zinazozunguka uwanja zikarabatiwe na ziwe uniform kuleta muonekano mzuri.
  • Vyumba vya kubadili nguo na mabafu.
  • Taa za kisasa kuwezesha mechi kuchezwa hata usiku.
  • Runway itengenezwe vzr inavyostahili.

View attachment 3247929View attachment 3247931
Huu uwanja kiuhalisia ulitakiwa kutaifishwa haukutakiwa kubaki kwa chama tawala kama ilivyo sasa ili serikali iwajibike nao.

Sababu za kusema hivyo ni kwasababu kila mtanzania alichangia kwenye ujenzi .
Nakumbuka tulikatwa mishahara kuujenga pia kulikuwa na asilima ya pato la TBL (wazalishaji wa safari lager etc) ambalo lilienda kwenye ujenzi wa huo uwanja.

Kwa ujumla watanzania wote tulishiriki kuujenga na sii wanachama pekee
 
Sio uwanja tu , hata ile stendi ya mabasi pale mjini kati ni aibu tosha
Uwanja wa michezo wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid ni uwanja wa michezo uliopo katika jiji la Arusha

Uwanja huu hutumika sana kwa ajili ya mchezo wa mpira wa miguu (soka)na shughuli nyingine mbalimbali za kitaifa. mchezo wa kwanza wa Futboli ya Kimarekani nchini Tanzania ulionyeshwa katika uwanja huu, ni uwanja wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000.

Uwanja huu ulipewa jina hili ili kumuenzi Meya wa kwanza muafrika Kaluta Amri Abeid.

hivi majuzi kumefanyika mchezo kati ya costal unioni ya tanga na azam fc ya dar es salaam, maoni yangu kwa kulinganisha hadhi ya mkoa wa arusha na ikiwa kama kiwanja kilichopo katikati ya mji na wenye historia kubwa basi inaleta mtazamo wa kiwanja cha hovyo kabisa.

licha ya kiwanja kipya kujengwa ndani ya jiji ya arusha haina maana tusahau hichi tulichonacho kwa sasa. Unaangalia mpira kupitia televisheni unaona ni kama wanachezea kwenye shamba lililosahaulika tu. Hivi jukwaa kulipiga rangi mara kwa mara inasaidia nini, si bora wapige tarazo (mafundi wanaelewa) ya rangi mbali mbali zinazovutia..?

Mkandarasi anayejenga uwanja mpya kwanini asipewe sub contract akarabati huu uwanja? Hiyo pitch ya kuchezea nadhani ipo hivyo hivyo kwa miaka yote, haijawahi badilika.

Runway yenyewe ya kukimbia ni ya vumbi na wanariadha wetu wengi wanatoka Arusha na Manyara, aisee ni kituko.

Jiji la Arusha hamuoni hili kweli?

Tafadhali huu uwanja uangaliwe kwa jicho la tatu.

  • Majukuwaa yafanyiwe ukarabati na kuongezewa ikiwezekana.
  • Vyoo sidhani kama vinakidhi mahitaji.
  • Frame zinazozunguka uwanja zikarabatiwe na ziwe uniform kuleta muonekano mzuri.
  • Vyumba vya kubadili nguo na mabafu.
  • Taa za kisasa kuwezesha mechi kuchezwa hata usiku.
  • Runway itengenezwe vzr inavyostahili.

View attachment 3247929View attachment 3247931
 
Nikiangaliaga hv viwanja,nasema nyerere alifanya makubwa,hv viwanja vinatakiwa kukarabatiwa na kuwa vya kisasa,ni kwel hawakupaswa kujenga kiwanja kingine
 
Uwanja wa michezo wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid ni uwanja wa michezo uliopo katika jiji la Arusha

Uwanja huu hutumika sana kwa ajili ya mchezo wa mpira wa miguu (soka)na shughuli nyingine mbalimbali za kitaifa. mchezo wa kwanza wa Futboli ya Kimarekani nchini Tanzania ulionyeshwa katika uwanja huu, ni uwanja wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000.

Uwanja huu ulipewa jina hili ili kumuenzi Meya wa kwanza muafrika Kaluta Amri Abeid.

hivi majuzi kumefanyika mchezo kati ya costal unioni ya tanga na azam fc ya dar es salaam, maoni yangu kwa kulinganisha hadhi ya mkoa wa arusha na ikiwa kama kiwanja kilichopo katikati ya mji na wenye historia kubwa basi inaleta mtazamo wa kiwanja cha hovyo kabisa.

licha ya kiwanja kipya kujengwa ndani ya jiji ya arusha haina maana tusahau hichi tulichonacho kwa sasa. Unaangalia mpira kupitia televisheni unaona ni kama wanachezea kwenye shamba lililosahaulika tu. Hivi jukwaa kulipiga rangi mara kwa mara inasaidia nini, si bora wapige tarazo (mafundi wanaelewa) ya rangi mbali mbali zinazovutia..?

Mkandarasi anayejenga uwanja mpya kwanini asipewe sub contract akarabati huu uwanja? Hiyo pitch ya kuchezea nadhani ipo hivyo hivyo kwa miaka yote, haijawahi badilika.

Runway yenyewe ya kukimbia ni ya vumbi na wanariadha wetu wengi wanatoka Arusha na Manyara, aisee ni kituko.

Jiji la Arusha hamuoni hili kweli?

Tafadhali huu uwanja uangaliwe kwa jicho la tatu.

  • Majukuwaa yafanyiwe ukarabati na kuongezewa ikiwezekana.
  • Vyoo sidhani kama vinakidhi mahitaji.
  • Frame zinazozunguka uwanja zikarabatiwe na ziwe uniform kuleta muonekano mzuri.
  • Vyumba vya kubadili nguo na mabafu.
  • Taa za kisasa kuwezesha mechi kuchezwa hata usiku.
  • Runway itengenezwe vzr inavyostahili.

View attachment 3247929View attachment 3247931
Uwanja no wa CCM, jiji hawahusiki
 
Back
Top Bottom