Sio tawi, ni mkubwa na mwanae. Wote huvaa jezi nyeupe na nyekundu.
Naiombea Toto Afrika irudi ligi kuu.
Hata umfunge magoli kumi, kiwango cha Simba hakitustui kwa kumpiga coastal. Mpira ni mchezo wa wazi unaonekana, wachezaji wa coastal wanaonekana kabisa wakiwa wanaamua kutoa ofa ya mipira kwa wachezaji wa Simba tena wakiwa golini kwao.Je angefungwa Simba SC mngesema haya?.. Simba ni Taifa Kubwa
Iko dugu moja hawa!
Yanga alimpofunga Coast goli 8 pale Taifa Simba nao waliimba mapambio kama yako. Tushike lipi sasa? Acheni wivu wa kikeIko dugu moja hawa!
Acha kupanic kwa vitu vidogo mzee, ungejua mimi sichezi disko vumbi wala usingepata tabu kuniquote,Yanga alimpofunga Coast goli 8 pale Taifa Simba nao waliimba mapambio kama yako. Tushike lipi sasa? Acheni wivu wa kike
TawireeeeHawa leo watapigwa 5 hawa
issue sio goli ila ni hiyo mipasi59' Chamaaaa Goooooal Goooooal
Ngapi ngapi?Chamaaaaaaaaaaaaa
Nusu DazanNgapi ngapi?