Easy Chair Mark III
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 897
- 1,369
Hizi ndio akili za wabongo. Sasa hii maana yake nini?Wenye wivu wajinyonge baba wenye wivu wajinyonge *2
Gwambina wana arena wako kimya..kupanda nyasi na vyuma chakavu vya magoli ndio makelele yote haya
Tanzania bado kuna safari ndefu sana ktk suala zima LA maendeleo endelevu.
Timu za Simba NA Yanga kama zingekuwa kwenye nchi zingine hadi Leo hii ndio zingekuwa timu "bilionea" KWA ukwasi WA pesa. Kununua tu kiwanja basi Watz wameona kama timu imeendelea sana kumbe Ni majanga tupu.Kutokana NA ukongwe WA timu hizi, mpaka sasa ingekuwa hata NA viwili kikubwa vya kuweza kuchukua watazamaji angalau 45,000 kwenye kila mji mkubwa hapa nchini Tz.
Huu uwanja haujazingatia utaalam wowoteTuulize sisi tunaoshinda Bunju hapo uwanjani.
Siyo kusema tu tuna makengeza.
Hapa ndio umeharibu sasa.Wenye wivu wajinyonge baba wenye wivu wajinyonge *2
Kwenye huo uwanja tutacheza Yanga na Simba mwaka gani Mtani?Hii Ndiyo Simba Mabingwa wa Nchi
Watasema una Wivu eti.Uwanja umekaa kama yai,
sasa hapo wachezaji watasimama vipi. Uwanja umekaa upande
Ulishawahi kufika hapo Uwanjani Mkuu?Una makengeza mkuu?
πππUnashinda uwanjani kuwanga au????
Manara ndio chanzo cha yote haya Kaka.Hizi ndio akili za wabongo. Sasa hii maana yake nini?
Mtani mmeweka uzi wacheni watu wafunguke. Nyie mnataka kauli Sukari tu.Usikute wewe unakaa nyumba ya kupanga!
Hebu tuambie wewe ni kipi ulichokifanya katika maisha yako cha kukufanya uwe mwerevu kwenye maendeleo
Kwenye huo uwanja tutacheza Yanga na Simba mwaka gani Mtani?
Oooooooh. Basi muongeage pole pole sababu hata sisi tuko mbioni kumalizia ule Uwanja wa Kaunda.Si umeambiwa Kuwa ni uwanja wa Mazoezi, Au hujasoma post?
Hiyo ni project endelevu tutafika huko kwenye kucheza mechi pia
Oooooooh. Basi muongeage pole pole sababu hata sisi tuko mbioni kumalizia ule Uwanja wa Kaunda.
Mtani kwa hii kauli nahisi ningekuwa karibu yako ni dhahiri hata kibao kingehusu mana ulivyowakka. πππSi umeambiwa Kuwa ni uwanja wa Mazoezi, Au hujasoma post?
Tutakapotandaza nyasi ndio tuanze kuulizana wapi pesa imetoka Mtani.Iyo hela ya kumalizia Kaunda Mutoe wapi?
Kwenye huo uwanja tutacheza Yanga na Simba mwaka gani Mtani?