Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Pape NdewPapii sijui Nani Nani ndo alikuwa anabeba power bank ya Simba
Hizi kauli naweza ziita dua la kuku na si kingine.Azam na Mbeya city watamfunga Yanga na kuitoa bikira baaada ya hapo unajua kinachofuata
Na bado mtapata tabu sana sasa mmehamia mbeya city na azam baada ya kuona simba hana uwezo wa kuifunga yanga, sasa tunawaambia hata hao mnaowategemea kitawakuta kilichowakuta wa jana maana nao mliwategemea sanaAzam na Mbeya city watamfunga Yanga na kuitoa bikira baaada ya hapo unajua kinachofuata
[emoji3][emoji3]huo ndo ukweli japo sio habari njema kwakoHizi kauli naweza ziita dua la kuku na si kingine.
Haitakuwa habari njema ikitokea ikawa hivyo kwani kwa sasa hizi hazina tofauti na habari za kufikirika.[emoji3][emoji3]huo ndo ukweli japo sio habari njema kwako
mtapata tabu sanaaaa..........[emoji3][emoji3]huo ndo ukweli japo sio habari njema kwako
Mkuu mimi nakuelewa sana. Ila Yanga wanaiga tu kuongelea ubingwa, aliyeanza kuongelea ubingwa walikua ni Simba baada tu ya kumsajiri MO kwa dau la hisa za asilimia 49. Na waliposhinda mechi mbili za kwanza tu wakaenda ku print t-shirts za ubingwa.Mkuu mechi 14 Kati ya 38 unazungumzia ubingwa? Ukisikia pre ejaculation maana yake ndo hii sasa
Mkuu mimi nakuelewa sana. Ila Yanga wanaiga tu kuongelea ubingwa, aliyeanza kuongelea ubingwa walikua ni Simba baada tu ya kumsajiri MO kwa dau la hisa za asilimia 49. Na waliposhinda mechi mbili za kwanza tu wakaenda ku print t-shirts za ubingwa.
Yanga ni mbumbumbu sana mkuu, wanaigaiga tu. Ubingwa ni wa Simba sababu kwanza tuna MO, pili kikosi chenye thamani ya bilioni.
wakati yanga nzima kikosi chao kina thamani ya shilingi milioni 40 tu
[emoji3][emoji3][emoji3] sarcasm right? Okay mkuu Simba ukiangalia kikosi Chao hata wewe najua moyoni unaona kabisa wakitwaa ubingwa watakuwa wamepata wanachostahiliMkuu mimi nakuelewa sana. Ila Yanga wanaiga tu kuongelea ubingwa, aliyeanza kuongelea ubingwa walikua ni Simba baada tu ya kumsajiri MO kwa dau la hisa za asilimia 49. Na waliposhinda mechi mbili za kwanza tu wakaenda ku print t-shirts za ubingwa.
Yanga ni mbumbumbu sana mkuu, wanaigaiga tu. Ubingwa ni wa Simba sababu kwanza tuna MO, pili kikosi chenye thamani ya bilioni.
wakati yanga nzima kikosi chao kina thamani ya shilingi milioni 40 tu
Mtalia sana msimu huuChikupe alitakiwa apewe umeme mapema sana, hana nidhamu ata kidogo, leo refa kawabeba mno, nibebe fc.
Utapoteza game na Simba, azam, ndanda, Mtibwa, Mbeya city, na Mbao......nina uhakika hapo hutapita salama mkuu wangu hivyo punguza kelele kwa sasa.Na bado mtapata tabu sana sasa mmehamia mbeya city na azam baada ya kuona simba hana uwezo wa kuifunga yanga, sasa tunawaambia hata hao mnaowategemea kitawakuta kilichowakuta wa jana maana nao mliwategemea sana
Kwani mna mkataba na Mungu?Wa kulia itakuwa ni sisi au nyie, sisi tuna uhakika na ubingwa more than 200%.
Hizo asilimia zitakapoyeyuka msisingie bahati na upepo kwa yanga. Mungu atatujalia uzima na afya njema kushuhudia bingwa wa msimu huu.Wa kulia itakuwa ni sisi au nyie, sisi tuna uhakika na ubingwa more than 200%.
Utakuwa unaumwa au hujui mpira wewe.Utapoteza game na Simba, azam, ndanda, Mtibwa, Mbeya city, na Mbao......nina uhakika hapo hutapita salama mkuu wangu hivyo punguza kelele kwa sasa.
Huko Eswatini mambo ni bam bam, simba 2 yanga 0, magoli classic kutoka kwa attacking midfielder bora kabisa katika ukanda huu wa Africa Mashariki, Clotus Chota Chama.Hizo asilimia zitakapoyeyuka msisingie bahati na upepo kwa yanga. Mungu atatujalia uzima na afya njema kushuhudia bingwa wa msimu huu.
Aisee, wanacheza na yanga?Huko Eswatini mambo ni bam bam, simba 2 yanga 0, magoli classic kutoka kwa attacking midfielder bora kabisa katika ukanda huu wa Africa Mashariki, Clotus Chota Chama.