Uwanja wa Sokoine Mbeya: Prison Tanzania 1 - 3 Yanga Afrika

Sio mbaya, jitahidi mrudishe tuliyokufungeni jana kule mbeya
Sisi principle yetu ni moja, ukiwa unaua nyoka shurti uponde kichwa, tumemaliza kuponda kichwa hapo eSwatini, tunageukia TPL sasa, mtatulia tu.
 
Hizo asilimia zitakapoyeyuka msisingie bahati na upepo kwa yanga. Mungu atatujalia uzima na afya njema kushuhudia bingwa wa msimu huu.
Wanasema muda siku zote ni hakimu mzuri, tuupe muda nafasi.
 
Mpira wa kujipatia ushindi kwenye keyboard huwa na matokeo tofauti na ya uwanjani.

Hope is a good breakfast but a bad supper
 
Mpira wa kujipatia ushindi kwenye keyboard huwa na matokeo tofauti na ya uwanjani.

Hope is a good breakfast but a bad supper
Nafikiri umesahau, ngoja nikukumbushe kidogo, Simba hana muda maalum wa kuwinda na kula, anakula muda wowote anaposikia njaa, hivyo hiyo breakfast, sijui supper wanajua yanga.
 
Yule beki ndiye alisababisha Prison kufungwa. Wangebaki 10 uwanjani pengine wasingefungwa.
 
Njaa ikiwa inauma halafu chakula msituni kimeota mbawa utakuja kuukumbuka usemi huu.

Mtaombea mpate sare/suluu na haitapatikana.

Usisahau:
When the bird learns to fly without petching, the hunter learns to shoot without aiming.

Safari njema mawindoni
Nafikiri umesahau, ngoja nikukumbushe kidogo, Simba hana muda maalum wa kuwinda na kula, anakula muda wowote anaposikia njaa, hivyo hiyo breakfast, sijui supper wanajua yanga.
 
Yule beki ndiye alisababisha Prison kufungwa. Wangebaki 10 uwanjani pengine wasingefungwa.
Halafu ni askari Magereza kama sijakosea, nafikiri anawakilisha namna askari wengi wa nchi hii walivyo na upeo mdogo wa kufikiria na kufanya maamuzi, kwa kifupi yule jamaa ndio aliyeiua Prison, Ngasa alikuwa anakula umeme wake pale mwenyewe then wana take advantage ya yanga pungufu
 
Hii quotation yako imenivutia sana, ila fahamu kuwa Simba hajawahi kufa na njaa porini ata kuwa na ukame ww namna gani, Simba ndio mfalme wa porini na uraiani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…