Uwanja wa Sokoine Mbeya: Prison Tanzania 1 - 3 Yanga Afrika

Uwanja wa Sokoine Mbeya: Prison Tanzania 1 - 3 Yanga Afrika

Hii siyo bahati, mechi zote hizo iwe bahati?, hata tukifanya bahati basi itaendelea mpaka mwisho wa ligi
Ndio muda wenu huu wa kushangilia, bado kitambo kidogo mtaanza kutafutana hapa.
 
Bahati na upepo ndio vinavyowabeba ila si kitambo kidogo mtaanza kutafutana, amin amin nakuambia.
Tuombe uzima. Japo nina inani mtabaki kusingizia bahati tu kama ilivyokuwa leo.
 
Back
Top Bottom