Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Watu wamejazana huku nje kwenye kontena na vibandani, ni aibu sana wapi TFF mmefeli jamani
Shida iko wapi, nini mmefeli TFF nimefurahi kuona watu mmejali maisha yenu kwanza
Pili tff walijua derby 10000 watu wataenda tu wanakula backet nje bia saba safi...
Kaeni mjiulize kwanini matamasha wamejazana leo imekuwa aibu
Amjajua wanaojaza ninwale wa 5000 mkasome nyakati mpira starehe sio sehemu ya kuvuna pesa
Shida iko wapi, nini mmefeli TFF nimefurahi kuona watu mmejali maisha yenu kwanza
Pili tff walijua derby 10000 watu wataenda tu wanakula backet nje bia saba safi...
Kaeni mjiulize kwanini matamasha wamejazana leo imekuwa aibu
Amjajua wanaojaza ninwale wa 5000 mkasome nyakati mpira starehe sio sehemu ya kuvuna pesa