Tukutane kwa mkapa jmosiHamkawiagi kuzikimbia comment zenu hasa pale mambo yanapokuwa kinyume.
Na bado mtahama sana mwaka huu.Tukutane kwa mkapa jmosi
Hao ndio ZESCO a.k.a Galactico wa Africa
Itakie ushindi ila kwa mkapa lazima mkacheze.tutaelewana baada ya mechi tarehe 14... lakini
1. ninaposema mimi ni shabiki wa yanga, namaanisha na si unafiki wa kujifanya shabiki wa yanga kumbe ni shabiki wa ndanda
2. mimi ni muafrika hivyo hakuna kinachonizuia kuamini kwamba nuksi na gundu vipo katika maisha ya kila siku, na si ushirikina kama wengi mnavyodhani...
3. naitakia ushindi timu yangu ya Yanga...
Waliotia gundu pale ni Gadiel, Ajibu na Manara.Habari za mihangaiko wanamichezo wa Jf,
Ikiwa imebaki siku moja tu (ijumaa ya tarehe 13/09) kabla ya mechi ya klabu bingwa afrika, kati ya Yanga vs Zesco United,
Naomba niweke wazi kwamba Yanga haiwezi kamwe kushinda hii mechi ya nyumbani dhidi ya zesco united itakayofanyika pale uwanja wa Taifa (kwa mkapa), hapa aidha Yanga itafungwa, ama itatoa sare ya namna yoyote ile.
Hii ni kwasababu huu uwanja kwasasa una gundu na nuksi nyingi sana katika michuano ya kimataifa, ni uwanja ambao haufai kwasasa katika michuano ya kimataifa.
Tangu msimu mpya wa mashindano ya kisoka kwa 2019 uanze, hakuna timu yetu ya Tanzania iliyowahi kushinda pale kwa mkapa (uwanja wa taifa).
Tumeshuhudia timu zetu zikitoa sare na kufungwa tu ndani ya dakika 90 za mchezo.
sioni Yanga ikishinda dhidi ya zesco united tarehe 14 pale kwa mkapa.
Kungekuwa na uwezekano hii game ingeamishiwa aidha uwanja wa uhuru ama chamazi complex, kama kweli tunataka kushinda.
Safari yenu fupi sanaMimi wakimataifa nanyongeaje sa Mtani.
"VICE VERSA IS TRUE" Hadi huruma Mtani. 🤣🤣 No tambo, no du o dai zis taimu, no kwa Mkapa kuwa kaburi yaani kuko kimyaaaaa.
Habari za mihangaiko wanamichezo wa Jf,
Ikiwa imebaki siku moja tu (ijumaa ya tarehe 13/09) kabla ya mechi ya klabu bingwa afrika, kati ya Yanga vs Zesco United,
Naomba niweke wazi kwamba Yanga haiwezi kamwe kushinda hii mechi ya nyumbani dhidi ya zesco united itakayofanyika pale uwanja wa Taifa (kwa mkapa), hapa aidha Yanga itafungwa, ama itatoa sare ya namna yoyote ile.
Hii ni kwasababu huu uwanja kwasasa una gundu na nuksi nyingi sana katika michuano ya kimataifa, ni uwanja ambao haufai kwasasa katika michuano ya kimataifa.
Tangu msimu mpya wa mashindano ya kisoka kwa 2019 uanze, hakuna timu yetu ya Tanzania iliyowahi kushinda pale kwa mkapa (uwanja wa taifa).
Tumeshuhudia timu zetu zikitoa sare na kufungwa tu ndani ya dakika 90 za mchezo.
sioni Yanga ikishinda dhidi ya zesco united tarehe 14 pale kwa mkapa.
Kungekuwa na uwezekano hii game ingeamishiwa aidha uwanja wa uhuru ama chamazi complex, kama kweli tunataka kushinda.