Songa Heri
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,724
- 1,873
Hii Ruvu Shooting ya sasa nawaambieni Yanga atadondondosha points. Mark my words
HahahaaaaaKweli napenda mahela shem ubaki nayo tu jamani siwezi hama simba we kama unanipa nipe tu kwa mapenzi sio uniambie mambo za kuhama team kuhama team ni ngumu sana kwangu kama vile kubadili dini
Kweli ndugu yangu hivi naanzaje kuhama teamHahahaaaaa
HT
Ndada 1
Ruvu shooting 3
Kagera sugar 2
Mtibwa 1
kama man na west brom
Comeback [emoji16]
Mlio uwanjani au karibu na media tupeni updates
Tusikimbiane tu baada ya mechi maana Yanga safari hii mikeka yenu inachanika sana,wiki ilee mlikua mashabiki wa Mtibwa Sukari mkeka ukachanika, mara ya mwisho mlikua Mbeya City wakawachania mkeka leo hamjakata tamaa mnahamia Prisons, hahahaaa mna roho ngumu sana yanga
Hajar, dua la kuku hilo ujueHuu ndio utabiri ambao mie napenda. Hivyo hivyo Mkuu. [emoji85]
Chura hafi harakaTusikimbiane tu baada ya mechi maana Yanga safari hii mikeka yenu inachanika sana,wiki ilee mlikua mashabiki wa Mtibwa Sukari mkeka ukachanika, mara ya mwisho mlikua Mbeya City wakawachania mkeka leo hamjakata tamaa mnahamia Prisons, hahahaaa mna roho ngumu sana yanga
Hata kwa maji moto?Chura hafi haraka
Ndio nn nkuu??
Aungurumapo Simba................, this is Simba bana... hua anasema mtangazaji wa BBC Lubunga Byaombe kutoka Kinshasa 'Kilabu La kabumbu la Simba kutoka huko Darisalama linacheza na Kilabu la kabumbu la TP Mazembe kutoka Lubumbashi, ile ndio size yetu sio hao wajelajela wa Mbeya au sijui jangwaniKila la heri mnyama yangu mie